Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

nakumbuka sun seat beach ilikua ikianza tunafukuzwa kulala
Hahaha sisi home tulikuwa na Tv aina ya National nchi 21 mzee ilikuwa akifika tu saa nne anaanza hayahaya kama mwanafunzi kulala sasa afu ndio inaanza daaah tulikuwa tunaibeba tunaenda nayo chum bani kimyakimya
 
Vipindi hivyo vingine ni vya uchochezi kwa vijana wetu...hatuvitaki virudi.tuwekewe vipindi vya kilimo vya kufuga...vya PowerTilla zinavyolima na hotuba za rais.
 
kaka utakuwa unakaribia kustaafu.....hahaaha....mi nilivyo hv najiona mzee na kipindi hiko ndo kwaanza nipo la tatu.....wakati ITV inaanza kuna kifaa kilikuwa lazima ununue kiwekwe kwenye TV ili uangalie mpira.....kulikuwa na jamaa mmoja wa kipemba nadhani alikuwa akiitwa Abdi saleh ktk kipindi cha muziki.
Duh hata wewe utakua nusu kustaafu mi ndo hata shule siijui
 
Tangazo la Revola da sijui kwanini walilitoa bora hata wangeliacha you tube alikua miriam odemba yule nazani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom