Kakashi uchiha
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 604
- 413
journey to the westView attachment 402172kuna hii pia...ilikua na jina lake ila nimelisahau...adi wahusika nilikua nimeweka majina ya kichwani enzi izo ila nimesahau yote
journey to the westView attachment 402172kuna hii pia...ilikua na jina lake ila nimelisahau...adi wahusika nilikua nimeweka majina ya kichwani enzi izo ila nimesahau yote
time trax ilikuwa lit kinoma,dahTime Trax
The Point man
Egoli
rino lens
kubuyu njoo kibuyu njoo kibuyu njooHahahaha kibuyu..naikumbuka sana hii tamthilia mkuu..uchawi ulikua mwingi sana
ngoja kwanza sia ndio ali star kwenye og la femme nikita..,awesome sasa mbona haonrshagi sura na wakati ni mzur tukuna tamthilia zingine za mkono Nikita ambayo star alikuwa huyu dada anaitwa Sia saiv na mwanamziki...na ingine ni beast master
Perfect stranger walikua wako vizuri sana
Na huwa anakujaga kumsaidia sehemu muhimuna ana mchizi wake wa nguvu anaitwa bobby ana zinga la hummer og yaaani sio hizi za sasa
samurai x naaangalia mpaka leo inaitwa rurouni kenshin...yaani wandering samurai ila walioirusha marekani mdii wkaidub samurai x...ipo hadi live action movie yake battoussai the manslayer....kali sana ile kitu sema watu hawajaisoma 2ITV walikuwa the best
V
Mortal kombat
A- team
The simpson
The Fresh Prince
The cosby show
Family Matters
Perfect strangers
CTN
Cartoon Networks
TNT
DTV
Superman
Knight Rider
The X- Files
Batman cartoon
Samorai X
popeye the sailor manKatuni ya kimba
Katuni ya spinach daah ili sio jina lake ningefahamu jina lake ingekua poa sana
Haha we jamaaa wewe eti sia....yule demu anaitw peta wilson while sia jina lake ni siangoja kwanza sia ndio ali star kwenye og la femme nikita..,awesome sasa mbona haonrshagi sura na wakati ni mzur tu
Samorai X ni mwisho, ilikuwa anaonesha alhamis jion nakumbuka mxa ambao samorai X inaoneshwa hakuna mtu hata moja utamuona uwanja wa mpira mpka ishesamurai x naaangalia mpaka leo inaitwa rurouni kenshin...yaani wandering samurai ila walioirusha marekani mdii wkaidub samurai x...ipo hadi live action movie yake battoussai the manslayer....kali sana ile kitu sema watu hawajaisoma 2
hiki kipindi ndio mwanzo wa jina KITI MOTO. huu ndio wakati nyama ya nguruwe ilianza kuuzwa kwn baa za kimara na sinza na watu wakawa wanakula kiwogawoga kama vile wanahojiwa kwn kipindi cha pasco mayalaDTV Kitimoto kipindi cha Pasco mayalla , kabla hakijaamia ITV
Walikuwa wanaanza kuzionyesha kuanzia saa tisa mchana huboreki yani CTN ilikuwa moto sana enzi hizo mkuuCTN walikuwa na movie fulani za kizamani sana, zilikuwa zinaitwa TNT Classic Movies. Nilikuwa napoteza muda sana kuziangalia hizi.
Mkuu enzi zile kibonde c alikuwa CTN na alikuwa akitangaza kipindi cha habari michezoDuh umenikumbusha mbali sana kijana. Walikuwa wanaweka picha za kihindi na kiarabu. Full watu kuchinjana na ndio movies za Kina kuchi kuchi khotae za kihindi. Umenikumbusha mtangazaji wa taarifa wa DTV alikuwa Ephraim kibonde. Na sitasahau yule Rainfred Masako alivyo tangaza ajali ya Mv. Bukoba.
Ivi huyu mzee Rainfred Masako yupo wapi alikuwa mtangazaji wa ITV.
Kuna mtangazaji mwingine alikuwa DTV alikuwa anaitwa Godfrey Mgodo