Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,835
- 1,050
...anaitwa SteveView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
...anaitwa SteveView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Huyo mrembo kwenye avatar yako atatokeo uraiani lini,nimemiss mapicha yake instaTangazo la Revola da sijui kwanini walilitoa bora hata wangeliacha you tube alikua miriam odemba yule nazani
Na Hector DextorAdventures za kusisimua za Michael Power....!!!
Diamond dalas page DDP na lex luga.La mujer de mivida.na pia kulikua na kitu cha chuck noris walker Texas ranger kila ijumaa si mchezo ,mieleka ya akina nick freno,mysterious,chriss benat na chriss Jericho bila kumsahau sting aliekua anataka unga usoni kila jumapili ilikua nzuri sana
Kweli asee jamaa wakikubusu wananyonya nyama na mifupa yote inabaki ngozi tuThe Beast Master nayo hii ilikuwa kiboko
hahahahaa, sasa si bora vipindi vya kipindi kile kuliko now uchi uchi, eti power tillaVipindi hivyo vingine ni vya uchochezi kwa vijana wetu...hatuvitaki virudi.tuwekewe vipindi vya kilimo vya kufuga...vya PowerTilla zinavyolima na hotuba za rais.
Anaitwa misanya Bingi saizi yuko university of dar es salaam ni Dr pale anawapiga vijana wetu shuleWote mmesahau kipindi cha jamaa mmoja sijui dj yule bonge sana kinaitwa vibe
Huyu hawezi toka aisee system ya china imeishampoteza kule hawacheki na nyani mkuuHuyo mrembo kwenye avatar yako atatokeo uraiani lini,nimemiss mapicha yake insta
Hapana Mkuu. Alikuwa anaitwa Steve Urkel ingawa jina lake halisi ni Jaleel White.Alikuwa anaitwa Martin
Tabia alishafarikiKuna mchezo wa kidedea ya mzee jengua