aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,499
mkuu ulivyotaja kimpa kisangameni mpaka nimeamua niipakue sasa hv mpaka leo bado mpya......pia Attention na SIDA
hii SIDA ni ile ya Mayway anayozungumzia UKIMWI sio....au ni ipi mkuu
mkuu ulivyotaja kimpa kisangameni mpaka nimeamua niipakue sasa hv mpaka leo bado mpya......pia Attention na SIDA
ndio hyo hyo....jamaa c alikufa kwa ngoma....ndio akawa anatahadharisha watu wawe makini na ngoma,ingawa pia ktk hyo ngoma alikuwa anasononeka baada ya watu kuwa wanamnyanyapaa kila siku wanamzushia kuwa jamaa tayar kisha kufa.....kumbe jamaa bado mzima,ndio katoa hyo nyimbohii SIDA ni ile ya Mayway anayozungumzia UKIMWI sio....au ni ipi mkuu
zipo software zinazoweza kurudisha kila kituJamani HUU UZI WA LEO NIMEUPENDA SANA, JAMANI MIMI NDO MZEE WA HIZO NYIMBO ZA ZAMA, NINAZO KWENYE EXTERNAL YANGU BUT HAISOMI,
NAOMBA MSAADA WA KUNISAIDIA KUPATA DATA ZANGU KWENYE HIYO EXTERNAL PLZZZZZZ
KasongoWeka na nkhulukhuni ya south Africa,simkumbuki kwa sasa nani aliimba
Nielekeze basi nani atanitengenezea kwa kutumia hiyo softwarezipo software zinazoweza kurudisha kila kitu
Mkuu hebu tukumbushane vizuri. Huu wimbo ulikuwa unaitwa wagadugu, au wagadugu walikuwa wapigaji? nakumbuka ile ngoma ilikuwa inaitwa "high life" au sio? Harafu kwasababu mmehamia nje ya East Afrika, nawakumbusha hiii..... "Haya madisco dansa, haya madisco dansa".....Mambo ya manyimbo ya simema za kihindi yaliyokuwa yakitamba RTD. Mpya Daladala zilipoanza kuna jamaa mmoja akaziandika daladala zake "Disco Dansa no. 1 na Disco Dansa no.2 )
Kumbe mchina hajaanza leo
Ntajaribu kuwauliza wadau then ntakuelekezaNielekeze basi nani atanitengenezea kwa kutumia hiyo software