Tukio la aibu! Sintolisahau!

Mi nilimpa mimba mwalimu mkuu wa shule niliyokuwa ninasoma. Mimba ilipofikisha miezi nane na nusu mwalimu mkuu akawa anawaaga wanafunzi na walimu. Hapo akanitambulisha rasmi kuwa mimi ndiye niliyemtundika kibendi, nikawa mdogo ile mbaya, hadi leo nataniwa, kuanzia mwaka 1991 nlipokuwa nasoma Majengo Juu Mbeya

Acha urongo Buji!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
SIDHANI KAMA HII NI YA KWELI NADHANI NI STORY TU,MIMBA MWANAFUNZI WA PRIMARY?HALAFU MBAYA KWA HEADTEACHER?HALAFU MBAYA ZAIDI AKAKUTAMBULISHA MBELE YA WALIMU NA WANAFUNZI?sijui lakini!
<br />
<br /
Huyo ndio buji bwana.
 
Sintosahau kuna siku walikuja kwangu kwa mara ya kwanza mama mkwe,Shemeji zangu 2 na shangazi yake wife,Basi baada ya maongezi ya siku nzima waliaga kwa kuwa wanarudi walikofikia nyumbani kwa mjomba wa mke wangu! Mzee niliamua kuwasindikiza nikiwa nimepiga kanzu, pamoja nami kulikuwa na mama mzazi na wadogo zangu wawili ambao tuliungana kuwasindikiza wageni.<br />
<br />
Baada ya kufika kituo cha daladala niliamua kuwachukulia taxi badala ya daladala niliwaomba wanisubiri kidogo mzee kimya kimya nilienda kuelewana na dereva taxi ng'ambo ya pili ya barabara alikubali kuwapeleka kwa Tsh 15,000/- Fasta nikaja kuwashtua wapande, wakati wanaanza kupanda niliona muda muafaka wa kumalizana na dereva! <br />
<br />
Mzee ile kuzama kwenye kanzu kumbe mfuko umetoboka pesa hakuna, natizama pensi ya ndani nikaibuka na pesa pungufu 14,000/- ndugu niliokuwa nao wote hawana hata sentano! Du mwanaume nikamvaa fasta dereva dirishani nikamnong'oneza kuwa nimedondosha pesa na pesa iliyobaki ipo pungufu, bahati nzuri alikuwa muelewana akapokea la sivyo angeanza kubisha ingekuwa balaa mzee sikuta hata kujua kama wamenishtukia au vipi taratibu nilirudi home ilikuwa soo!
<br />
<br />
We wa ajabu sana, tabia zako za ujivuni hujaacha kumbe??!!!
We unawachukulia teksi watu hawana hata Tsh. tano?!! NA unaonyesha hukupanga hata kuwatoa.
Ungewapa hiyo 14,000 wangegawana na kupanda daladala mia tatu.
Ndo maana ulipoteza pesa na jua walikumind kinoma huko mbele!
 
Hayo matukio ni very common!Wakati mwingine ukitoa assignments kwa wanafunzi wa kike,madaftari yakikusanywa unakuta barua za kutongozwa katikati ya daftari.
 
Wakati niko JKT kwa mujibu wa sheria nilikuwa nimejifanya mlokole ili kukwepa shuruba za maafande..Yaani hata nikijfanya serure (mgonjwa) wanaamini. Sasa kuna afande mmoja alikuwa mkali ile mbaya..push up nje nje..lakini kwa bahati nzuri alikuwa anatoka mkoa mmoja nami na mara zote alikuwa ananiita "poti" na mara nyingi alikuwa ananiomba niende kumwombea mke wake mgonjwa kwani aliamini "poti (kabila moja) mimi ni mlokole. Kwa upande wa pili mzee mzima nilikuwa mlokole feki rafiki wangu wa kike alikuwa kombania moja bila afande poti kujua ila maservice wote wa kombania walikuwa wanajua mimi mlokole feki..

Basi siku moja ..Afande Poti alikasirika ..akaanza kupigisha kwata na push up.kombania nzima. Wasichana wakavumilia wakachoka..wakaona ili jamaa awasamehe inabidi wawe wabunifu... Basi wasichana wa kombania wakaanza kuimba kwa sauti"SHEMEJI SHEMEJI UNATUUMIZAAAA! Afande Poti akaendelea"chini..juuu' nani shemeji yenu hapa.. .. Wasichana wa kombania wakaimba tena kwa sauti.. SHEMEJI UNATUUMIZAAA!..Afande Poti alipouliza tena.. Mimi shemeji yenu kwa nani.. wote wakasema "Poti mwenzako Zumbukuku ni mlokole feki ana demu wake huyu hapa kila siku anavunja amri ya sita..

Zumbukuku bila kusubiri kinachoendelea nilitimua mbio porini..kwani nilijua jamaa aliamini mimi ni mlokole kweli na mke wake atapona!
 
Kuna skuli nilikuwa nafundisha baada ya kumaliza form six. Nilikuwa nafundisha Physics&Mathematics. Nilikuwa mwl mdogo kuliko wote pale shule. Pia nilikuwa karibu sana na wanafunzi. Mabinti walinipenda sana, nami niliwapokea na kuwapa ushauri kama wadogo zangu.

The way nilivyokuwa nawachukulia, walihisi nimesha fall in love, kila mmoja akawa anatangaza kivyake, si mabinti wote, ila mabinti wengi wa kidato cha pili na cha tatu walinizoea sana. Wapo waliodiriki hata kuniletea vizawadi, kama miwa na matunda, kwakuwa nilikuwa nakaa mwenyewe nyumba za shule nilizipokea.

Kuna siku wanafunzi wawili wa kidato cha pili walipigana, kisa mwl Ibwe,... Kesho yake wazazi wakaja shule kutatua matatizo ya watoto wao.
Lilikuwa bonge la aibu kuanzia shule na hata mtaani. Sintolisahau.

Wewe Mwana Jf mwenzangu tukio gani la aibu hautolisahau?
Hukuwa na na haja ya kuona soo hapo. Mi nashangaa sana, hivi kuna ubaya gani mkulima baada ya kufanya kazi nzito sana ya kuandaa mazao yake akaamua kuchukua hindi moja tu na kwenda kulitafuna?.
 
Tulikuwa kwenye management meeting, MD wetu ni mama, sasa ghafla akapiga chafya na kuanza kukohoa, bahati mbaya akajamba kwa sauti ambayo ilisikika na wote, mzee yaani kama dakika mbili tatu zilipotea kila mtu kachanganyikiwa, sitasahu ile issue , yaani mama aliishiwa confo kabisa. Sema tunashukuru kuna HR Manager mtu mzima mmoja aliingilia kati na kuendeleza kikao kwa kuchangia akaua soo kia aina. Acha bana mambo haya...
<br />
<br />
ebana ee!
 
anastahili hongera wakati alimchezea mwalimu mpaka akamuharibu na hakuja kumuoa?.....acheni hizo
Hivi Nyie Hii Lugha ..''Kamchezea''..mnaitolea wapi??...Sasa kama kweli issue ya Buji itakuwa kweli na kwa Umri wa Mtoto wa Primary japo kasema alikuwa na 16 ukiiangalia kwa makini kati yake na Mwalimu huyu..nani KAMCHEZEA mwenzake??
 
Hivi Nyie Hii Lugha ..''Kamchezea''..mnaitolea wapi??...Sasa kama kweli issue ya Buji itakuwa kweli na kwa Umri wa Mtoto wa Primary japo kasema alikuwa na 16 ukiiangalia kwa makini kati yake na Mwalimu huyu..nani KAMCHEZEA mwenzake??
ni Buji alimchezea mwalimu....
 
Tulikuwa kwenye management meeting, MD wetu ni mama, sasa ghafla akapiga chafya na kuanza kukohoa, bahati mbaya akajamba kwa sauti ambayo ilisikika na wote, mzee yaani kama dakika mbili tatu zilipotea kila mtu kachanganyikiwa, sitasahu ile issue , yaani mama aliishiwa confo kabisa. Sema tunashukuru kuna HR Manager mtu mzima mmoja aliingilia kati na kuendeleza kikao kwa kuchangia akaua soo kia aina. Acha bana mambo haya...

ha ha haa.. ila asijal kupumua ni afya..
 
Mi nilimpa mimba mwalimu mkuu wa shule niliyokuwa ninasoma. Mimba ilipofikisha miezi nane na nusu mwalimu mkuu akawa anawaaga wanafunzi na walimu. Hapo akanitambulisha rasmi kuwa mimi ndiye niliyemtundika kibendi, nikawa mdogo ile mbaya, hadi leo nataniwa, kuanzia mwaka 1991 nlipokuwa nasoma Majengo Juu Mbeya
<br />
<br />
huyo mwalimu alivunja ethics za kazi yake...hawezi kukutangaza wewe
 
Kuna skuli nilikuwa nafundisha baada ya kumaliza form six. Nilikuwa nafundisha Physics&Mathematics. Nilikuwa mwl mdogo kuliko wote pale shule. Pia nilikuwa karibu sana na wanafunzi. Mabinti walinipenda sana, nami niliwapokea na kuwapa ushauri kama wadogo zangu.

Inamaana ulikuwa unawapa ushauri peke yake au hata wakitaka nanii unawasaidia!!!!!
 
yaani mimi nakumbuka wakati niko la saba nilijikojolea brbrn mitumbani kawawa road nikiwa nauri hom from tuition jioni chanzo chake ni kutokojoa shuleni vyoo vichafu we ile kushuka kituoni kinondoni a from palmbeach natembea hadi kinondoni b ndo ilikuwa mitaa ya hom zamani mkojo ukaanza kidogo ukagonga chp we ckuweza uzuia tena ulitoka wote ikabidi nisiangalie watu kulia wala kushoto one way home duh nikikumbuka ni noma.
pia wakati niko form one bording kipindi cha dini nilichaguliwa kuimbisha nikackia kutoa hewa we nilijua itatoka ile ya kimyakimya e bwana wee iliyoachia hapo ilikuwa scud wanafunzi wote walickia kesho yake wacha waniimbe mchakamchaka niliona noma ckwenda class nikidai naumwa ni soo aibu ikikupata unatamani kurudisha muda nyuma urekebishe
 
Mi nilimpa mimba mwalimu mkuu wa shule niliyokuwa ninasoma. Mimba ilipofikisha miezi nane na nusu mwalimu mkuu akawa anawaaga wanafunzi na walimu. Hapo akanitambulisha rasmi kuwa mimi ndiye niliyemtundika kibendi, nikawa mdogo ile mbaya, hadi leo nataniwa, kuanzia mwaka 1991 nlipokuwa nasoma Majengo Juu Mbeya

Papa Bujibuji, duh!!! taratibu kaka.
 
Tulikuwa kwenye management meeting, MD wetu ni mama, sasa ghafla akapiga chafya na kuanza kukohoa, bahati mbaya akajamba kwa sauti ambayo ilisikika na wote, mzee yaani kama dakika mbili tatu zilipotea kila mtu kachanganyikiwa, sitasahu ile issue , yaani mama aliishiwa confo kabisa. Sema tunashukuru kuna HR Manager mtu mzima mmoja aliingilia kati na kuendeleza kikao kwa kuchangia akaua soo kia aina. Acha bana mambo haya...
Usiombe ukakutwa na hii hali..
 
Ilikuwa hivi wakati nasoma sekondari kuna demu mmoja alikuwa ameshafall in love kwangu,ila tu mimi nilikuwa sina time naye,sasa siku moja kaja class kanikuta sina habari,kanipiga busu hadharani kila mtu darasa zima kaona,ebwanaee niliona noma vibaya!!Vp ingekutokea wewe mwanajf!!!
 
Back
Top Bottom