Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Mi nilimpa mimba mwalimu mkuu wa shule niliyokuwa ninasoma. Mimba ilipofikisha miezi nane na nusu mwalimu mkuu akawa anawaaga wanafunzi na walimu. Hapo akanitambulisha rasmi kuwa mimi ndiye niliyemtundika kibendi, nikawa mdogo ile mbaya, hadi leo nataniwa, kuanzia mwaka 1991 nlipokuwa nasoma Majengo Juu Mbeya
Acha urongo Buji!