Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Wazee wa Aza boy mpoo?
Hebu leteni stori wajameni tukumbuke tulipotoka!. ngoja mi nianze na stori za yule ticha anaitwa "mchwa". siku moja mchwa alimkuta jamaa anavuta bangi, kuona vile Mchwa akamtoa mkuku yule jamaa, jamaa kuzidiwa ikabidi apande ngazi hadi madarasa ya juu, Mchwa hamwachii bado anaye tu, kuona vile jamaa ikabidi ajirushe chini ili asikamatwe.
Basi Mchwa akaenda kuripoti kwa HeadMaster, "kaka kakka kaka kwa (sauti ya kukwama kwama), nimerikuta jamaa rinakunywa bange nikarifukuza rikaruka kutoka chini mapaka juu (wakati huo mchwa akisema chini macho yanaangalia juu na kidole kinapointi juu, akisema juu macho yanaangali chini na kidole kinapoiti chini)
Hebu leteni stori wajameni tukumbuke tulipotoka!. ngoja mi nianze na stori za yule ticha anaitwa "mchwa". siku moja mchwa alimkuta jamaa anavuta bangi, kuona vile Mchwa akamtoa mkuku yule jamaa, jamaa kuzidiwa ikabidi apande ngazi hadi madarasa ya juu, Mchwa hamwachii bado anaye tu, kuona vile jamaa ikabidi ajirushe chini ili asikamatwe.
Basi Mchwa akaenda kuripoti kwa HeadMaster, "kaka kakka kaka kwa (sauti ya kukwama kwama), nimerikuta jamaa rinakunywa bange nikarifukuza rikaruka kutoka chini mapaka juu (wakati huo mchwa akisema chini macho yanaangalia juu na kidole kinapointi juu, akisema juu macho yanaangali chini na kidole kinapoiti chini)