St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,635
- 4,519
Nipo bongo nakimbizana na life, we wapi? Lunya namkumbuka, mi nilikua na kina Dickson, Frank Lyatuu,RIP. Mussa Sechonge, Kaseja, na bounser wetu Salanga. Jeremiah sijui yuko wapi sasa. Man it was fun when i think of it now. Mwalimu Moland wa english na yule wa chemistry alikua kituko kweli. Bila kumsahau Mapimpi wa Siasa enzi hile alikua anavuta fegi class alafu hana habari.
Mzee kweli una memory nzuri umenikumbusha Mapimpi sina hamu jamaa alikuwa kachoka akiingia class ,class yote inanuka kachaso na yeye ndio anaikolezea na fegi sijuikama atakuwa hai sasa hivi.Ila kwa siasa na history alikuwa mzima.Mwalimu Moland sitamsahau siku moja kaniuliza kwa nini umechelewa shule ile nataka kumjibu tu master huyu katokea kwenye kile kikorido kati ya IV-E na IV-F Moland si akabadilisha kibao kanishtaki kwa master anasema jamaa kanigomea wacha mchaga anirukie nisingekuwa na mbio naona angeua:lol: .Mimi sasa hivi niko Netherlands mwanangu bado tunasaka mautaalam na kuumia na winta.