Kaunga,sijawahi kumkumbusha,ni mama wa watoto wawili ama ameolewa!
Nnmh hiyo ya kuwa 'marafiki' maana yake mlikuwa mnaDO?
WHAT
minazi, miembe...utoto mbaya sana. Basi wenyewe wakati wa 'ku-do' kuna kisauti fulani hivi unatoa!Pwani itakuwa chini ya minazi tuu! Utoto bwana!
Ukikutana nao impression ya kwanzi ni siku ile ulipowado na kadude chenye ukumbwa wa kidole kidogo! Lol!
Nikisema visa vinanifuata watu wandhani aah, sijui mie mkorofi.
Kuchagua lazima.
Juma kuna kuDO basi si ni ile ASH ASH ASH ASH halafu basi,we were still young.
Imagine huyo childhood secret admire wake ndio angekuwa mwenzi wako wa ndoa now; l am sure hiyo avatar yako ingekuwa halisi. LOL
Duh Calinde umenikumbusha mbali sana,nilikuwa na binamu yangu huko kijijini unyamwezini tulikuwa tukienda likizo toka pwani,na kile kiswahili cha kipwani basi alikuwa ananipenda sana.Kipindi hicho cha likizo watoto tulikuwa wengi hapo nyumbani kwa hiyo tulikuwa tunalala sebuleni watoto wote wa kike na wakiume kwa hiyo yeye alikuwa analazimisha tuwe tunalala karibu karibu.Tulikuwa 'marafiki' sana,baada ya kuwa wakubwa,kuolewa na kuoa tulikuwa tukionana tunakumbushana jinsi tulivyokuwa close utotoni.
Kuna makabila ya pwani kama Wadigo,wanaruhusiwa kuoana mtoto wa mjomba na shangazi,sijui kwa wanyamwezi kama inaruhusiwa.Ngoja nimsubiri Kaunga,Sikonge na Itegamatwi waje watuambie
Namkumbuka mchumba wangu Jafari wa Kinondoni..alikuwa mkubwa kwangu na kupenda kunitania mchumba, hatuku-do chochote bali utani wa mtaani utotoni. Nimeonana nae mwaka jana ghafla baada ya kupoteana miaka 10. Tunaishia kucheka ya zamani na ananiita switi potato sasa, mweeh!!