Tujifunze kwa Vicky kuhusu ndoa

Ester505

JF-Expert Member
Jul 14, 2020
794
1,030
TUJIFUNZE KWA Vicky jamani kuhusu ndoa. Unakutana na mtu anakwambia nimefunga ndoa na Fulani ndoa ya serikali. Sasa huba nilemeee, wewe unafunga NAE Tena ndoa ya dini may be kanisani.

Ndugu zangu, wewe unayefunga Nae ndoa ya pili wakati ndoa ya kwanza haijavunjwa MAHAKAMANI huna haki kisheria na ndoa yako NI batili. Tuache kujizima data,nasema hakikisha umeonyeshwa hati ya talaka. Serikali ndio inatoa vyeti vya ndoa iwe ya kiserikali/kidini na zote huwa NI halali kisheria.

Na ndoa huvunjwa mahakamani.Hata uwe na CHETI Cha ndoa ya kanisani sijui akatokea mwenzio aliyefunga ndoa ya kiserikali kabla yako,ndoa yako no batili.

Hata Kama hawana mawasiliano, CHETI kipo na hawajavunja ndoa. Kisheria ndoa yao NI halali na NI HAI
KUMBUKA HAKUNA NDOA JUU YA NDOA.

TUNAVYOISHI LEO, TUKUMBUKE NA KESHO YETU.
 
Shida ya watu hawajui kama serikali ndo inatoa vyeti vyote
Kuna mtu akiona ana ya dini anaona kila kitu ni hakika
Mwingine akiona ya serikali anaona haina mashiko kivile
Cha kuelewa ni kwamba serikali haina cha dini wala mila yenyewe inaangalia mkataba wenu

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa.
 
TUJIFUNZE KWA Vicky jamani kuhusu ndoa. Unakutana na mtu anakwambia nimefunga ndoa na Fulani ndoa ya serikali. Sasa huba nilemeee, wewe unafunga NAE Tena ndoa ya dini may be kanisani.

Ndugu zangu, wewe unayefunga Nae ndoa ya pili wakati ndoa ya kwanza haijavunjwa MAHAKAMANI huna haki kisheria na ndoa yako NI batili. Tuache kujizima data,nasema hakikisha umeonyeshwa hati ya talaka. Serikali ndio inatoa vyeti vya ndoa iwe ya kiserikali/kidini na zote huwa NI halali kisheria.

Na ndoa huvunjwa mahakamani.Hata uwe na CHETI Cha ndoa ya kanisani sijui akatokea mwenzio aliyefunga ndoa ya kiserikali kabla yako,ndoa yako no batili.

Hata Kama hawana mawasiliano, CHETI kipo na hawajavunja ndoa. Kisheria ndoa yao NI halali na NI HAI
KUMBUKA HAKUNA NDOA JUU YA NDOA.

TUNAVYOISHI LEO, TUKUMBUKE NA KESHO YETU.
Inaonekana kuwa tatizo kwa kuwa wanawake wanaiangalia ndoa kwa context ya kumyonya mwanaume. Kama shida ya mke sio mali za mume hata kama isipotambulika haina shida maana yeye na huyo mume wataendelea kuinjoi liife na kuzaa na kulea watoto wakiwa pamoja na hakuna mtu atakuja kumbandua kwa mumewe.
 
Inategemea wakati wa kufunga uli- specify ya mke mmja au zaidi ya mmoja, selikalini ukisema ndoa ya mke mmoja Ile sehemu iliyobaki inafutwa tena kwa rula kwa kupitisha mstari. Hivyo namna mtu wa jinsi hiyo anasaidika.
Nimesoma hukumu yote, ndoa ya kwanza ilikuwa ya mke mmoja kwa hiyo yeye alikuwa ni hawara tu . Na pia alifoji baadhi ya nyaraka. Aibu yale loh
 
TUJIFUNZE KWA Vicky jamani kuhusu ndoa. Unakutana na mtu anakwambia nimefunga ndoa na Fulani ndoa ya serikali. Sasa huba nilemeee, wewe unafunga NAE Tena ndoa ya dini may be kanisani.

Ndugu zangu, wewe unayefunga Nae ndoa ya pili wakati ndoa ya kwanza haijavunjwa MAHAKAMANI huna haki kisheria na ndoa yako NI batili. Tuache kujizima data,nasema hakikisha umeonyeshwa hati ya talaka. Serikali ndio inatoa vyeti vya ndoa iwe ya kiserikali/kidini na zote huwa NI halali kisheria.

Na ndoa huvunjwa mahakamani.Hata uwe na CHETI Cha ndoa ya kanisani sijui akatokea mwenzio aliyefunga ndoa ya kiserikali kabla yako,ndoa yako no batili.

Hata Kama hawana mawasiliano, CHETI kipo na hawajavunja ndoa. Kisheria ndoa yao NI halali na NI HAI
KUMBUKA HAKUNA NDOA JUU YA NDOA.

TUNAVYOISHI LEO, TUKUMBUKE NA KESHO YETU.
Malizia kwa Wakristo. kuna ndoa juu ya ndoa kwa Waislam
 
Back
Top Bottom