Tujadili kuhusu maisha baada ya Chuo

muneera75

Senior Member
Oct 12, 2019
190
318
Watu wengi wanasema maisha baada ya chuo huwa ni magumu sana kwasababu ule mzunguko wa kupata pesa kama kipindi mtu yupo chuo huwa ni mgumu.

Kwa experience yako unampa ushauri gani mtu ambae amemaliza chuo mwaka huu juzi juzi tu hapo afanye kitu gani ili kupambana na maisha ya kila siku?

vile vile kwa ambao wanaingia mwaka wa tatu wajifunze kitu gani ili kuweza kupambana na maisha ya chuo na baada ya kumaliza chuo?

Mawazo,ushauri, challenge na suggestion.

Karibuni!
 
Kwa wanaoingia 3 yr Kama Ana boom aanze kusave kdgo ili akimalza ikamsaidie kufanya biashara ndogondgo na waliomlza kupiga kaz yoyote uku ukichek mchongo..
 
Ile hela haifanyiwi biashara jaman, tusidanganyane mkuu....cjui inabalaa gani, ukiforce kufanya utapata tabu Sana

Over!
𝚍𝚞𝚞𝚑 𝚖𝚔𝚞𝚞, 𝚜𝚒𝚘 𝚕𝚣𝚖 𝚞𝚊𝚗𝚣𝚒𝚜𝚑𝚎 𝚋𝚒𝚊𝚜𝚑𝚊𝚛𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝙼𝚘
 
acha kutumia vibaya pesa ya serikali unakopeshwa kwa ajili ya meals and accomodation sasa ww unataka kufanyia biashara,,.....,maliza chuo njoo mtaani mbinu za kupigana zinapatikana vitani!
 
mimi ambaye sikuwa na boom naona maisha ndio yaleyale ila sitahau nilikula ugali sana bila mboga ila niliWin sana kuchukua gheto ili nipambane na maisha bila watu kujua sikupenda kabisa watu kuja gheto kwangu na mpaka namaliza chuo aliwahi fika jamaa mmoja tu..

mtaani sasa hivi naona ni slope tu
 
Ile hela haifanyiwi biashara jaman, tusidanganyane mkuu....cjui inabalaa gani, ukiforce kufanya utapata tabu Sana

Over!
huwezi kufanya biashara hata ivyo kama huelewi unacho kifanya labda umesikiliza ushauri kwa mtu ambae hajawai fanya siku zote unaweza kuendesha gari kwa mwalimu ambae aliyekufundisha gari nae awe anajua kuendesha gari kwaiyo wengi wanaofanya biashara kwa hela ya boom weng wanajiweza kwao pili huwezi fanya biashara kama huna elim ya fedha
 
Kwanza tukubaliane kabisa lifestyle ya chuo bi yatifauti sana na maisha halisi ya mtaani, Maisha ya chuo yana maigizo mengi sana. Watu wanaishi kwa fashion na kukatchup na latest technologies ilihali uwezo ni mdogo, wanabeti sana na hawana kipato, kama huu mchezo wa kubeti umefanya madogo wengi wasimalize chuo, na amini usiamini wanachuo na majobles ndio wanaojaza mabet shop ya mjini hapa, Anyways twende kwene mada.

Ajira ni tatizo la dunia. Wanafunzi wengi huwa wana expectations kubwa sana kwa njia rahis na hapo ndio huwa tatizo linapoanzia wakishindwa kufikia malengo kwa time limit walijiwekea, wanapata msongo wa mawazo sababu vyuo vyetu vingi sio job oriented wao ukishapata gpa ya 4.8 we ndio wewe na ushamaliza kila kitu.

Kitu cha ajabu kabisa hapa bongo ni rahis kwa mtu aliesoma VETA umeme(sijui inaitwaje hii kozi) kupata kazi kuliko mwenye bachelor ya ELECTRICAL ENGINEERING pale UD. Ni rahis mtu alosoma PC maintanance VETA kupata kazi kuliko Mtu alosoma bachelor of computer science UD au vyuo vingine ? If you ask me why ? sijui hata sababu, wenye bachelor majobless wenye certificate wanafanya kazi aisee kazi ipo.

Sasa basi ndugu zetu sababu mwisho wa picha ni hela ONDOA ILE PRIDE YA MIMI NI BACHELOR HOLDER FANYA KAZI YEYOTE ITAKAYOKUPA KIPATO MAISHA KWA GROUND NI MAGUMU SANA. Jiandaeni kisaikolojia kwa disappointment za kutosha ila hakuna kukata tamaa as long as upo hai unatakiwa uendelee kupambana. Elimu haijawah kumtupa mtu siku moja itakutendea haki ya kitu ulichokuwa unakitaka wakati huo ushaadapt mazingira unalijua game vizuri unaweza pambana vizuri sasa.

Kwa mnaosoma technical studies jitahidini kuwa kujua ivyo vitu mmesoma, me ntatolea mfano wa IT/CS wakuu kamaten hivi kisawa sawa yan usijue kijuu juu jua kweli kweli. Kamata kimoja unachoona unaweza kijue kweli kweli

1.LINUX
2.PROGRAMMING LANGUAGES
Java( inakuwaga mandatory)
Python
Java script
C++
C#
PHP
3. NETWORKING
4. WEB DESIGNING, ujue html, css, php

Huu ni mfano tu basi kwanini ujue haya sababu interview nyingi sikuiz wanataka wampe mtu anaeweza kazi akiingia kazini kazi ianze effectively na sababu nyingine ni mbinu tu yakuwapunguza watu ni wengi isije ikawa wanaojua wanaachwa wanaenda wasiojua...

NB: vitu vingi vyakufanya practical tutorial zipo you tube na ni free.

Kitu kingine cha msingi KAZI YA MTU HAIKUFANYI TAJIRI, ukiweza kujiajiri ndio rahis kuwa TAJIRI, so kama unaweza kuinvest na ukawa creative THERE YOU ARE.... Ishini humo wadogo zetu mtaaani sio main cafetaria wala hall seven sijui hall one wala kwame nkuruma wala utawala wanaume mtaumia sana msipokaa sawa wanawake mtatumika sana mpaka unakuja kukaa sawa ushatumika sana na mabrotheman wa benk
 
Ile hela haifanyiwi biashara jaman, tusidanganyane mkuu....cjui inabalaa gani, ukiforce kufanya utapata tabu Sana

Over!
Kwanza tukubaliane kabisa lifestyle ya chuo bi yatifauti sana na maisha halisi ya mtaani, Maisha ya chuo yana maigizo mengi sana. Watu wanaishi kwa fashion na kukatchup na latest technologies ilihali uwezo ni mdogo, wanabeti sana na hawana kipato, kama huu mchezo wa kubeti umefanya madogo wengi wasimalize chuo, na amini usiamini wanachuo na majobles ndio wanaojaza mabet shop ya mjini hapa, Anyways twende kwene mada.

Ajira ni tatizo la dunia. Wanafunzi wengi huwa wana expectations kubwa sana kwa njia rahis na hapo ndio huwa tatizo linapoanzia wakishindwa kufikia malengo kwa time limit walijiwekea, wanapata msongo wa mawazo sababu vyuo vyetu vingi sio job oriented wao ukishapata gpa ya 4.8 we ndio wewe na ushamaliza kila kitu.

Kitu cha ajabu kabisa hapa bongo ni rahis kwa mtu aliesoma VETA umeme(sijui inaitwaje hii kozi) kupata kazi kuliko mwenye bachelor ya ELECTRICAL ENGINEERING pale UD. Ni rahis mtu alosoma PC maintanance VETA kupata kazi kuliko Mtu alosoma bachelor of computer science UD au vyuo vingine ? If you ask me why ? sijui hata sababu, wenye bachelor majobless wenye certificate wanafanya kazi aisee kazi ipo.

Sasa basi ndugu zetu sababu mwisho wa picha ni hela ONDOA ILE PRIDE YA MIMI NI BACHELOR HOLDER FANYA KAZI YEYOTE ITAKAYOKUPA KIPATO MAISHA KWA GROUND NI MAGUMU SANA. Jiandaeni kisaikolojia kwa disappointment za kutosha ila hakuna kukata tamaa as long as upo hai unatakiwa uendelee kupambana. Elimu haijawah kumtupa mtu siku moja itakutendea haki ya kitu ulichokuwa unakitaka wakati huo ushaadapt mazingira unalijua game vizuri unaweza pambana vizuri sasa.

Kwa mnaosoma technical studies jitahidini kuwa kujua ivyo vitu mmesoma, me ntatolea mfano wa IT/CS wakuu kamaten hivi kisawa sawa yan usijue kijuu juu jua kweli kweli. Kamata kimoja unachoona unaweza kijue kweli kweli

1.LINUX
2.PROGRAMMING LANGUAGES
Java( inakuwaga mandatory)
Python
Java script
C++
C#
PHP
3. NETWORKING
4. WEB DESIGNING, ujue html, css, php

Huu ni mfano tu basi kwanini ujue haya sababu interview nyingi sikuiz wanataka wampe mtu anaeweza kazi akiingia kazini kazi ianze effectively na sababu nyingine ni mbinu tu yakuwapunguza watu ni wengi isije ikawa wanaojua wanaachwa wanaenda wasiojua...

NB: vitu vingi vyakufanya practical tutorial zipo you tube na ni free.

Kitu kingine cha msingi KAZI YA MTU HAIKUFANYI TAJIRI, ukiweza kujiajiri ndio rahis kuwa TAJIRI, so kama unaweza kuinvest na ukawa creative THERE YOU ARE.... Ishini humo wadogo zetu mtaaani sio main cafetaria wala hall seven sijui hall one wala kwame nkuruma wala utawala wanaume mtaumia sana msipokaa sawa wanawake mtatumika sana mpaka unakuja kukaa sawa ushatumika sana na mabrotheman wa benk
Facts
 
Back
Top Bottom