sammosses
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,682
- 1,110
mh sikio la kufa ama kweli halisikii dawa,wanajipambanua wenyewe uchi wa fikra zao nba uduni wa sera zao.Mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema heri uchi wa nyama kuliko uchi wa akili,hii sasa too much mh!Hivi mwalimu JK Nyerere aliondoka na na kila kitu ndani ya CCM?Inawezekana hakuacha kitu pale kuanzia busara,sera nzuri,uzalendo,imani na upendo ndani ya CCM.Ukiona mtu mzima anasimama mbele ya kadamnasi huku anatoa lugha chafu mbele ya watoto na wazee ujue kama si chizi basi anaelekea kuokota makopo.
Uchakavu huu wa fikra uana sababishwa na nini hasa mpaka mtu unatoa uchafu ambao hakustahili kupitia mdomoni.Mbaya sana amezungukwa na wazee tena wengine ni viongozi wanaojipambanua ni wapamabanaji wa ufisadiili hali wana cheza kijamaa huku wakiimba kibepari.Sipendi kuamin kama mchawi aliye waroga yupo hai.Shime wana wa Arumeru ni wakati wenu sasa kuchagua chua na mchele,sera zimemwaga,kama mnataka matusi CCM ndo hiyo na kama mnataka mabadiliko ya kweli dhidi ya madhalimu ndon wakati wenu kumchagua mgombea toka CDM.
Sera bila matusi zinawezekana na Tanzania yenye neema isiyo na mafisadi inawezekana.Kama kasi zaidi,nguvu zaidi na speed zaidi zimekita katika matusi tutegemee taifa la matusi na sera za halijojo.Na kama ndo mbuzi wa bwana ALLY amekula mahindi katika shamaba la bwana Ally basi tunapo elekea ni nusura ya maulana tu ndo itakuwa suluhisho la maadili mema ndani ya jamii yetu.Pole sana wana Arumeru,yaelekea ndani ya miaka hamsini mlipungukiwa matusi ndo maana sera ya matusi inachukua nafasi yake.
Uchakavu huu wa fikra uana sababishwa na nini hasa mpaka mtu unatoa uchafu ambao hakustahili kupitia mdomoni.Mbaya sana amezungukwa na wazee tena wengine ni viongozi wanaojipambanua ni wapamabanaji wa ufisadiili hali wana cheza kijamaa huku wakiimba kibepari.Sipendi kuamin kama mchawi aliye waroga yupo hai.Shime wana wa Arumeru ni wakati wenu sasa kuchagua chua na mchele,sera zimemwaga,kama mnataka matusi CCM ndo hiyo na kama mnataka mabadiliko ya kweli dhidi ya madhalimu ndon wakati wenu kumchagua mgombea toka CDM.
Sera bila matusi zinawezekana na Tanzania yenye neema isiyo na mafisadi inawezekana.Kama kasi zaidi,nguvu zaidi na speed zaidi zimekita katika matusi tutegemee taifa la matusi na sera za halijojo.Na kama ndo mbuzi wa bwana ALLY amekula mahindi katika shamaba la bwana Ally basi tunapo elekea ni nusura ya maulana tu ndo itakuwa suluhisho la maadili mema ndani ya jamii yetu.Pole sana wana Arumeru,yaelekea ndani ya miaka hamsini mlipungukiwa matusi ndo maana sera ya matusi inachukua nafasi yake.