RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Pamoja nakuruhusiwa kufanya maandamano hakuna impact yoyote iliyotokea ya mwitiko wa watu hii maana yake NI kwamba watu walishachoka na siasa za majitaka.
Wengi wanajuwa CHADEMA NI janja janja ya kivuli kinachoitwa upinzani kumbe NI Tawi lilelile la ccm na wengi wanajuwa hawa watu NI pesa mbele mambo mengine baadae.
Amini nawaambia hawa Jamaa wataraluana kwa vyeo ! Tundu lisu hatokuja kuwa mwenyekiti na mbowe ataendelea na kazi ya mwenyekiti.
Niwaambie Tu zitto hakutaka kuwa mnafiki wa maandamano aliamua kujifanyia shughuli zake na chama chake maana anajuwa nikupotezeana muda.
Wengi wanajuwa CHADEMA NI janja janja ya kivuli kinachoitwa upinzani kumbe NI Tawi lilelile la ccm na wengi wanajuwa hawa watu NI pesa mbele mambo mengine baadae.
Amini nawaambia hawa Jamaa wataraluana kwa vyeo ! Tundu lisu hatokuja kuwa mwenyekiti na mbowe ataendelea na kazi ya mwenyekiti.
Niwaambie Tu zitto hakutaka kuwa mnafiki wa maandamano aliamua kujifanyia shughuli zake na chama chake maana anajuwa nikupotezeana muda.