OMG nitaitafuta hiyo CD nitaisambaza jimbo lote la mtera, anatukana kiasi hiki kura ya babu inadharika kiasi hiki? ila mwulizeni kilichomtoa cdm 2005 ni yeye ndiye aliyenufaika na EPA alinunuliwa akaacha kugombea. akaenda tarime aaaah the history of this bajaj inakera