NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Sijui ukweli wa hii habari lakini hata hivyo sitashangaa kwa sababu ya maswali yafuatayo;-
1. Je wana vitabu vya kutosha na vinapatikana?
2. UDSM wana lecture rooms za kuwatosha?hamna wanaokaa chini na hata hwasikii lecturer anasema nini?
3. Wanamalazi salama? wengine naiskia wanatoka kibahaa na usafiri ulivyo wa shida.
1. Je wana vitabu vya kutosha na vinapatikana?
2. UDSM wana lecture rooms za kuwatosha?hamna wanaokaa chini na hata hwasikii lecturer anasema nini?
3. Wanamalazi salama? wengine naiskia wanatoka kibahaa na usafiri ulivyo wa shida.