Pied Piper
Member
- Dec 4, 2009
- 15
- 0
Tuisheni ninayozungumzia ni wanachuo wa chuo kikuu cha dar es salaam, sehemu ya mlimani yaani "watoto wa mkandala" nenda changanyikeni kituo cha daladala cha bondeni, iliza madarasa wanayosomea wanachuo utaoneshwa. Madarasa yanajaa kama tution za mkandawile enzi zile
watoaji/mtoaji wa hiyo twisheni ni akina nani?