Unajua tatizo la wana CDM mnaona ni sifa kumtukana raisi wa hii nchi lakini akitukanwa mtume wenu basi inakuwa tabu. wewe UWEZO TUNAO umesoma post zingine na umeona maneno yanayo semwa na wenzako juu ya Rais wa Tanzania? Ingekuwa wakati wa MKAPA hii JF ingesha fungwa siku nyingi.