Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,642
- 6,071
Wakuu habari za Jumapili
We have just finished a Press Conference here at HQ, ambapo kutokana na uzito na umuhimu wa suala lilizongumzwa leo mbele ya wanahabari, viongozi wakuu wa chama, Mwenyekiti Taifa Kamanda Freeman Mbowe, Katibu Mkuu Dkt. Willibrod Slaa, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Musa Hamad Yussuf, baadhi ya wakurugenzi na maofisa wa makao makuu walikuwepo.
Kwa kifupi. Walau kwa kuanzia sasa; CHADEMA kimeshusha tuhuma nzito kwa serikali, hasa Usalama wa Taifa kuwa wanapanga njama za kutaka kuwamaliza kwa mbinu mbalimbali, zikiwemo za kutumia sumu, kijambazi (kutesa) na zingine, viongozi wa CHADEMA, ambapo kwa kuanzia tayari mkakati unaandaliwa kuanza na John Mnyika, kisha afuate Dkt. Slaa na baadae Godbless Lema.
Baadhi ya watu wa TISS wametajwa kwa majina wakituhumiwa kuhusika katika njama hizo ambazo tayari watu wameshawekwa kuanza kazi rasmi.
Naibu Mkurugenzi wa UWT, Zoka ametajwa kuwa katika njama hizo, ambapo tayari kikosi kinachoongozwa na mtu anayeitwa Rama kimetumwa Mjini Dodoma kuanza harakati za namna ya kummaliza John Mnyika, kisha wengine wafuatie.
The whole story is coming...
Hasa njia wanazopanga kutumia kutekeleza mpango huu wa hujuma ya kikatili dhidi ya fikra huru zinazopigania mabadiliko ya kimfumo na kiutawala.
Another serious show down to justify how the failing, falling and collapsing government behaves towards its people.
As Chairman Freeman Mbowe has put it "Rule of Terror".
Haya tena...
1. Sumu
2. Ajali (kutengeneza)
3. Njia za kijambazi, kuteka na kutesa, kisha...
4.
5.
We have just finished a Press Conference here at HQ, ambapo kutokana na uzito na umuhimu wa suala lilizongumzwa leo mbele ya wanahabari, viongozi wakuu wa chama, Mwenyekiti Taifa Kamanda Freeman Mbowe, Katibu Mkuu Dkt. Willibrod Slaa, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Musa Hamad Yussuf, baadhi ya wakurugenzi na maofisa wa makao makuu walikuwepo.
Kwa kifupi. Walau kwa kuanzia sasa; CHADEMA kimeshusha tuhuma nzito kwa serikali, hasa Usalama wa Taifa kuwa wanapanga njama za kutaka kuwamaliza kwa mbinu mbalimbali, zikiwemo za kutumia sumu, kijambazi (kutesa) na zingine, viongozi wa CHADEMA, ambapo kwa kuanzia tayari mkakati unaandaliwa kuanza na John Mnyika, kisha afuate Dkt. Slaa na baadae Godbless Lema.
Baadhi ya watu wa TISS wametajwa kwa majina wakituhumiwa kuhusika katika njama hizo ambazo tayari watu wameshawekwa kuanza kazi rasmi.
Naibu Mkurugenzi wa UWT, Zoka ametajwa kuwa katika njama hizo, ambapo tayari kikosi kinachoongozwa na mtu anayeitwa Rama kimetumwa Mjini Dodoma kuanza harakati za namna ya kummaliza John Mnyika, kisha wengine wafuatie.
The whole story is coming...
Hasa njia wanazopanga kutumia kutekeleza mpango huu wa hujuma ya kikatili dhidi ya fikra huru zinazopigania mabadiliko ya kimfumo na kiutawala.
Another serious show down to justify how the failing, falling and collapsing government behaves towards its people.
As Chairman Freeman Mbowe has put it "Rule of Terror".
Haya tena...
1. Sumu
2. Ajali (kutengeneza)
3. Njia za kijambazi, kuteka na kutesa, kisha...
4.
5.