Chamwene alikula mzigo wa my wife wa askari. hiyo ipo wazi wala usitake kuirudisha tena hapa. Mtafute owner wa Aqua Motel (ambaye pia ni owner wa Stanley Motel Singida) ndugu Malya aka Hali ngumu akupe full mkanda!
subiri mtoa uzi huu alete habari kamili kama alivyoahidi. Usianze kumnanga kabla
"You are rats" haya yalikuwa maneno ya kifedhuli ya Gadaffi, juilize yuko wapi leo hii. Naona JK anajisafishia njia ya kwenda kwa Ocampo , The Heague.
JK wala hatofika the Hague, uwezo wake wa kufikiri na TISS yake havitaweza kumchelewesha hadi afikishwe huko. Labda awe ametafuta hifadhi nchi ya nje kabla Abeid Msangi na wenzake hawajawaua viongozi wetu wapendwa wa CDM.
Kikweti will not survive, he will have detonated himself if that happens and as a simple advice, his security apparatus is devided unless he freezes the traitors, which is impossible according to their volume.
. Red, Mkuu hio PhD yako ni ya Online au??, Najaribu kufananisha ulichoandika ktk post yako na PhD!. Ukizingatia hio taarifa kamili ya kilichozungumzwa ktk hio press conference hujakipata...
Mkuu kwanza ushahidi ukionyeshwa utaona fasta serikali na jeshi la polisi watalipinga kabla,Ila ni ukweli usiopingika hii kitu kipoInashangaza humu JF, badala ya watu kujadili namna ya kujikinga mnajandaa kwa kupokea vifo vya viongozi wenu! Hii ni ajabu. Fikirieni namna gani ya kujikinga. Mashambulizi pia ni njia mojawapo ya kujikinga. Lakini pia kwa shuja huenda kilio lakini kwa mwoga huenda kicheko. Hata hivyo kila mmoja kati ya mwoga na shujaa ana afadhali yake. Mwoga aweza akapigana tena kesho kwa mbinu nyingine si lazima ana kwa ana. Jambo hili kama kuna ushahidi twaweza kulipeleka UN au la washukiwa kuwemo kwenye orodha ya targets wakimbilie nje ya nchi
Tusingoje yawapate halafu tuanze kulalamika, litakuwa dua la kuku kifaranga kimeshaliwa.
Wewe si ndiye uliyeleta habari za Simbachawene kukatwa mapanga? kwi kwi kwi teh teh teh!
Mnajitafutia umaarufu kwa njia chafu? kawauweni wenyewe mseme Serikali, mnataka kujiosha kisa cha Ulimboka?
Hata siku ya Simachawene alisema picha zinafata, mpaka leo hazijafika. Na hiyo anayosema habari kamili ujuwe hakuna zaidi ya ***** tu. Tumezowea.
Habari za kuaminika kutoka Makao Makuu ya CHADEMA zinadai chama hicho kimefanya Mkutano na Waandishi wa habari kuelezea tishio la kuuliwa kwa viongozi wake wakuu!! Nadhani mambo ya Liwalo na Liwe yanaendelea
niombeeni nifike salama nitawajulisha juu ya hii taarifa kwa undani na nitaeleza hapa hapa jf ...kuna umwagaji damu mkubwa unakuja...ni kundi la vijana 6 wamerejea kutoka bulgaria walikokuwa wamepelekwa kwenye mafunzo ..wenye kufatilia post zangu niliwahi kulisema hili mda flan japo kwa kifupi sana...ila haki itatawala