tuelimishane jamani

tata mvoni

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
534
81
Jamani mie siyo mtaalamu kabisa wa mambo ya electronics ila nina tatizo kidogo naomba tusaidiane.LEO MCHANA nilikuwa mahali fulani halafu nikawaona jamaa wanabishana kuhusu hizi T.V za kisasa zenye vioo vya LCD,LED na PLASMA.mmoja akasema t.v zenye LCD huwa crystals zinaisha akaenda mbali zaidi akasema life expectancy yake ni masaa 60,000.Mwingine akasema t.v zenye LED ni nzuri zaidi kuliko LCD pia naye akasema t.v za LED life expectancy ni takribani masaa 100,000 Hii ina maana kwamba baada ya muda huo kupita DEFINITION huwa inakuwa mbaya yaani zitaonyesha giza-giza fulani.ila hawakuzungumzia chochote kuhusu t.v za PLASMA.maswali 1)je,ni kweli tv za LCD baada ya muda hizo crystals huisha? 2)kati ya tv ya LCD,LED na PLASMA ni ipi nzuri zaidi? 3) kioo cha t.v ya plasma kimeundwa na nini?.AHSANTENI
 
Jamani mie siyo mtaalamu kabisa wa mambo ya electronics ila nina tatizo kidogo naomba tusaidiane.LEO MCHANA nilikuwa mahali fulani halafu nikawaona jamaa wanabishana kuhusu hizi T.V za kisasa zenye vioo vya LCD,LED na PLASMA.mmoja akasema t.v zenye LCD huwa crystals zinaisha akaenda mbali zaidi akasema life expectancy yake ni masaa 60,000.Mwingine akasema t.v zenye LED ni nzuri zaidi kuliko LCD pia naye akasema t.v za LED life expectancy ni takribani masaa 100,000 Hii ina maana kwamba baada ya muda huo kupita DEFINITION huwa inakuwa mbaya yaani zitaonyesha giza-giza fulani.ila hawakuzungumzia chochote kuhusu t.v za PLASMA.maswali 1)je,ni kweli tv za LCD baada ya muda hizo crystals huisha? 2)kati ya tv ya LCD,LED na PLASMA ni ipi nzuri zaidi? 3) kioo cha t.v ya plasma kimeundwa na nini?.AHSANTENI

Wana JF wamejadili kwa kina sana hili swala la hizi TV. Fungua hapa

Pia waweza kupitia hapa (Afroit)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom