Ukiwa mpiganaji wakati na muda wowote waweza kupigana. Naongelea kupigana (upiganani), hapa hakuna kuchagua sehemu kwasababu askali hodari hachagui pori. Narudia mimi nina wasiwasi na sababu za upiganaji na sio upiganaji wa Mh. mwenye sura ya upiganaji
Tunachoongelea na kuangalia ni utendaji wa kazi sio sura , weye wamtaka sura ili nini? NA pia pale sio mahala pa maonyesho vinginevyo labda weye una madhaifu mengine ambayo sisi hayatuhusu na si mahala pake hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.