iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 377
- 884
Nina demu mmoja anasoma chuo, ananipenda sana lakini mimi namchukulia kawaida tu kwasababu ananiweka mjini, naishi kwake ananilisha na bills zote analipia yeye, mimi mchango wangu kweke ni kidogo sana nkipata pesa kidogo kidogo ndipo nachangia.
Kwanza kabisa demu tulikutana mtandaoni tukabadilishana namba tukawa tunawasliana, alinikaribisha getto kwake room amepanga kuna kila kitu ndani, na anaonyesha kunipenda sana lakini mimi simpendi kama yeye anavyonipenda, inshort namuigizia tu kwasababu bado najitafuta.
Sababu kuu inayonifanya nisimpende ni kwasababu ana sura mbaya na muonekano mbaya, lakini ana rafiki yake mmoja mzuri sana alishawahi kunikutanisha nae akanitambulisha kwake, yule rafiki yake nilimuelewa sana mpaka sasa huwa natamani kumuona kila mara, dem wangu akiwa ananisimlia story za rafiki yake huwa natamani aendelee kunisimlia details nyingi zaidi kumuhusu huyo rafiki yake ili nimjue kiundani zaidi ili nikija kumtokea iwe virahisi kumnasa.
Huyu dem wangu kwanza hata kutembea nae barabarani huwa naona aibu kwasababu mimi ni bishoo na ni handsome kiaina lakini demu wangu ana muonekano mbaya amevimba kama baunsa wa club.
Sasa nilikua nafikiria kuanza kumcheat huyu demu wangu ambae mpaka sasa bado naishi kwake na ananiamini sana na huwa ananitishia kuwa siku akijua kuwa namcheat anaweza kunifanyia kitu kibaya ambacho kitanifanya nijutie maisha yangu yote hapa duniani, na kwa muonekano wake ana hasira za karibu sana (short temper) mpaka kuna muda huwa nataman nimweleze ukweli kuwa nahtaji tuachane lakn naogopa anaweza kunifanyia kitu kibaya maana nimetumia vitu vyake vingi sana na nimekula pesa zake nyingi sana.
Rafiki yake nmekutana nae leo tukawa tunapiga story nyingi sana nkawa natamani kumuomba namba ya simu but naogopa,
Kitu kinachonifanya mpaka natamani kuwa na rafiki yake ni kwasababu rafiki yake ni mrembo sana na ana muonekano mzuri hata nikitoka nae out balabalani siwezi kuona aibu maana binti ni mrembo sana, kingine kinachonifanya natamani kuwa na huyo binti ni kuwa yeye hasomi yupo anaishi kwake na ana hakiri za maisha ya kujitaftia, mimi pia nina mtaji kidogo nafikiria kumtongoza akinikubaria tuanze maisha yetu mapya na huyu bint wa ndoto zangu, then huu mtani nilionao tufanye biashara ili tuweze kutafta maisha kwa pamoja.
JE NIACHANE NA HUYU DEMU MBAYA WA SURA NA MUONEKANO ILI NIAZE MAISHA MAPYA NA RAFIKI AKE AMBAE NI MREMBO NA ANANIVUTIA ZAIDI..?
Kwanza kabisa demu tulikutana mtandaoni tukabadilishana namba tukawa tunawasliana, alinikaribisha getto kwake room amepanga kuna kila kitu ndani, na anaonyesha kunipenda sana lakini mimi simpendi kama yeye anavyonipenda, inshort namuigizia tu kwasababu bado najitafuta.
Sababu kuu inayonifanya nisimpende ni kwasababu ana sura mbaya na muonekano mbaya, lakini ana rafiki yake mmoja mzuri sana alishawahi kunikutanisha nae akanitambulisha kwake, yule rafiki yake nilimuelewa sana mpaka sasa huwa natamani kumuona kila mara, dem wangu akiwa ananisimlia story za rafiki yake huwa natamani aendelee kunisimlia details nyingi zaidi kumuhusu huyo rafiki yake ili nimjue kiundani zaidi ili nikija kumtokea iwe virahisi kumnasa.
Huyu dem wangu kwanza hata kutembea nae barabarani huwa naona aibu kwasababu mimi ni bishoo na ni handsome kiaina lakini demu wangu ana muonekano mbaya amevimba kama baunsa wa club.
Sasa nilikua nafikiria kuanza kumcheat huyu demu wangu ambae mpaka sasa bado naishi kwake na ananiamini sana na huwa ananitishia kuwa siku akijua kuwa namcheat anaweza kunifanyia kitu kibaya ambacho kitanifanya nijutie maisha yangu yote hapa duniani, na kwa muonekano wake ana hasira za karibu sana (short temper) mpaka kuna muda huwa nataman nimweleze ukweli kuwa nahtaji tuachane lakn naogopa anaweza kunifanyia kitu kibaya maana nimetumia vitu vyake vingi sana na nimekula pesa zake nyingi sana.
Rafiki yake nmekutana nae leo tukawa tunapiga story nyingi sana nkawa natamani kumuomba namba ya simu but naogopa,
Kitu kinachonifanya mpaka natamani kuwa na rafiki yake ni kwasababu rafiki yake ni mrembo sana na ana muonekano mzuri hata nikitoka nae out balabalani siwezi kuona aibu maana binti ni mrembo sana, kingine kinachonifanya natamani kuwa na huyo binti ni kuwa yeye hasomi yupo anaishi kwake na ana hakiri za maisha ya kujitaftia, mimi pia nina mtaji kidogo nafikiria kumtongoza akinikubaria tuanze maisha yetu mapya na huyu bint wa ndoto zangu, then huu mtani nilionao tufanye biashara ili tuweze kutafta maisha kwa pamoja.
JE NIACHANE NA HUYU DEMU MBAYA WA SURA NA MUONEKANO ILI NIAZE MAISHA MAPYA NA RAFIKI AKE AMBAE NI MREMBO NA ANANIVUTIA ZAIDI..?