Arusha hamna maduka ya wapemba huku hawawezi toboa huoni wahindi wenyewe wanakimbia!
Mara nyingi hua naona mchango wako hua wakitaifa zaidi huu ubaguzi umeanza lini au ndo ulivyo?
Wale wamekosa wahukumiwe kama mwanasheria kaongeze nguvu upande wa walalamikaji kaka. Binadamu ni binadamu.
vinginevyo tuseme mahakamani na polisi hawana kazi.
Msiwe kama umoja wa mataifa wahutu wameua mamilion ya watusi wamewekewa mahakama wanamaliza hela za UN kuwasikiliza ila Osama ye amepigwa risasi mpaka kufa!?