Sina uhakika ila inaweza kuwa Fiber, hizo waya ndogo hazionekani vizuri
Hata Mjini zipo hivi, kuna uwezekano mkubwa ni Fiber mkuu.Yah zipo kama hizi, ila wamepitisha moja tu, hazipo kwa bundle kama hizi
Matapeli wenye kasi kubwa lknHamnaga kitu kama unlimited kwa pesa hizo! Tena hao Voda ndio matapeli kabisa.
Zimekaa mbili kwa pamoja?Waya ndogo nyembamba sana
Thanks a lot mkuu!Naambiwa hapa baada ya hizo 37GB, speed inashuka mpaka up to 256kbps, yaani hiyo 256kbps ndo maximum. So most of the time inachezea below 256kbps... Ambayo labda nitaangalia video YouTube ya 144p quality, ili niangalie 240p buffering lazima
Kwa speed ya 256kbps(maximum speed), inamanisha napata 32KBps ambayo ni approximately 1.9MB in a min. Kwa masaa 24 ni approximately 2.5GB in 24hrs. Huu utopolo sasa. Yaani in 30 days ni 75GB za mwendo wa Kobe na hapo ni uwe available in every second throughout the month ambayo ni almost imposible. So kwangu Mimi sio kifurushi rafiki
Naomba unipe requirement za TTCL adsl nicheze na mkuki package ya 25000?
Nje ya mada Mkuu.Sina uhakika ila inaweza kuwa Fiber, hizo waya ndogo hazionekani vizuri
Ngumu kujua, kama inazima asilimia zikiwa zimeshuka lets say 50 ama 40 ni tatizo la battery.Nje ya mada Mkuu.
Simu inapojizima Ghafla ikiwa online kwenye internet ina sababishwa na nini.
Ahsante mkuu, kesho ntaenda ofisini kwao kuwaulizaHata Mjini zipo hivi, kuna uwezekano mkubwa ni Fiber mkuu.
Zile zilikuwa nyingi sababu makampuni ni tofauti hii itakua kampuni moja tu. Huwa wanapenda sana kukunja waya hivyo.
Alaf kuna setting unaweka inakuwa inareboot automatic usiku..shukran sana mkuu
Hii ni Aerial telecom cable (outdoor multi pair cable) uweza kua 10,20,30-500 pair hizo ndo usafilisha connection kwa mfumo wa copper kisha kunakua na distribution box kuwapa wateja line zao
Waya mbili kwa pamoja, so adsl.Zimekaa mbili kwa pamoja? View attachment 2271478
Sijui kama utaona hio picha
Huo wa juu ambao ni waya mbili kwa pamoja ndio Adsl sawa na zile waya za simu za zamani.
Wa chini ni wa Zuku, zinakuwa kama Nyanya tatu kwa pamoja, hio Fiber.
Sema Fiber wanatumia Nyaya hizo kama step ya mwisho zikiingia kwenye Nyumba, zile za masafa marefu zinazotumika nje zinakuwa nene.
Shukuran sanaHii ni Aerial telecom cable (outdoor multi pair cable) uweza kua 10,20,30-500 pair hizo ndo usafilisha connection kwa mfumo wa copper kisha kunakua na distribution box kuwapa wateja line zao
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Ttclzuku au ttcl nani yupo maeneno ya SINZA DAR
Wana office zao wapiFunga zuku, kwa mwezi 70,000 uone balaaa lake.
OUR CONTACTSWana office zao wapi