TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Terms and condition zipo wazi tunaamu tu kuzikimbia.

Home internet ni unlimited bundle hupimiwi, nimetumia TTCL, Zuku, na wengineo.

Speed sio unlimited unalipa kutokana na speed unayotaka na sio dedicated ni up to.

Ila kutokana na capacity ya fiber kuwa kubwa kibongo bongo bado sana kuijaza, waya mmoja unapeleka hadi 10gbps,

Ndio maana unaona ukilipa cha 10mbps wa wanakupa 20, ukilipa 40 wanakupa 100 etc.
Kwahio speed ni hio hio mwezi hadi mwezi hamna usanii wa kutegewa speed ya kobe sababu unatumia sana.
 
Kwahio speed ni hio hio mwezi hadi mwezi hamna usanii wa kutegewa speed ya kobe sababu unatumia sana.
Hakuna, usanii huo upo mitandao ya simu ila fiber sijaona.

Wakati ndio naanza kuweka Zuku nilikuwa nadownload vitu vikubwa sana, Game moja tu kama GTA V lina GB zaidi ya 100 unadownload siku nzima na sijawahi punguziwa Speed.

Kariakoo hapa unakuta watu 10 wanachanga wanavuta zuku 40 ama 100mbps inakuwa abused vibaya mno, kuanzia wadownload movie mpaka magame na sijawahi sikia mtu amekuwa throttled.

Labda huko baadae wakijaza capacity ndio waanze kubana ila kwa sasa ni mteremko tu.
 
H
Hakuna, usanii huo upo mitandao ya simu ila fiber sijaona.

Wakati ndio naanza kuweka Zuku nilikuwa nadownload vitu vikubwa sana, Game moja tu kama GTA V lina GB zaidi ya 100 unadownload siku nzima na sijawahi punguziwa Speed.

Kariakoo hapa unakuta watu 10 wanachanga wanavuta zuku 40 ama 100mbps inakuwa abused vibaya mno, kuanzia wadownload movie mpaka magame na sijawahi sikia mtu amekuwa throttled.

Labda huko baadae wakijaza capacity ndio waanze kubana ila kwa sasa ni mteremko tu.
Hapo unyama sana
 
Mzee naona uwaamini kabisa wabongo..

Hizo gb hazinaga masharti umashusha tu
Si unajua michezo yao hawachelewi. Mkishafika subscribers Million 1 tu vinaanza vitimbwi mara Youtube haifunguki. Buffer za maana 😂😂😂 yani ukifanya hesabu unaona kama hio laki moja yako ulilipia kifurushi cha week 1 tu.
Week 3 zote wamekusulubu na 300kbps
 
H

Hapo unyama sana
Na mkuu logic hapa ni kwamba Fiber ina Bandwidth kubwa,

Mnara wa simu wa kisasa peak inakuwa 10gbps ila most of time unarange 2 mpaka 4gbps

Then kiwaya kimoja cha fiber kinafika 10gbps, inamaana kwenye mfereji mmoja wakimwaga viwaya kadhaa tu zinapita data nyingi kushinda minara yote mjini.

Ndio maana kwenye waya hatubaniwi.
 
Voda wanatwist sana maneno sio wa kuwaamini

Ushauri wangu

Option no 1 ambayo nina uhakika nayo na ni affordable - Zuku Fiber
Hii naitumia dukani iko vizuri sana ni 69,000 kwa mwezi Unlimited speed 10Mbps (shared)
Hawa wako vzr mno hakuna downtime wala mtandao kukata kata na speed yao ukitest inakuja hiyo hiyo na installation ni bure unaweza wapigia uulize eneo ulipo kama wamefika

TTCL Wana Fiber unlimited unapimiwa speed tu kama ni 10Mbps au 20Mbps lakini sina uhakika kama speed huwa ni nzuri kama wanavyosema last time niliunga internet yao ya DSL ilikua very worst ila hii fiber nasikia ni mpya

Voda wana speed nzuri ila ni expensive
 
Hapa ndipo na mimi wasiwasi wangu ulipo.
Kwa zuku spidi haipungui moto ni ule ule mwanzo mwisho.

Mara nyingi kila nikiingia ofisini nafanya speed test kujiridhisha before kuanza kazi mana tuna voip outbound call center


Hapa nimetest ikiwa kuna device kibao zipo connected
test1%20netwrptk.jpg
 
Boss hapa mjini kampuni tatu tuh ndo zina true unlimited bundles ambazo speed hazishuki
1.Zuku fiber
2.CTV
3.TTCL

Usikubali kununua internet za dish, hizo zinakua na downtime mara nyingi
Acha kuwadanganya watu, hizo zote ni shared na speed hushuka kama kawaida
 
Back
Top Bottom