Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 5,045
- 4,701
Wewe ndiye msemaji wa hiyo Kampuni?Upo chini ya kiwango mkuu, salio linaluhusiwa kuanzia Tsh 100 na kuendelea, isizidi 1,000,000
Wewe ndiye msemaji wa hiyo Kampuni?Upo chini ya kiwango mkuu, salio linaluhusiwa kuanzia Tsh 100 na kuendelea, isizidi 1,000,000
Basi subiri atakuja kukupa majibu TTCL Customer CareWewe ndiye msemaji wa hiyo Kampuni?
Mbona ile no ya installer anapokea mtu mwingineBasi subiri atakuja kukupa majibu TTCL Customer Care
Mbona TTCL hamnijibuMbona ile no ya installer anapokea mtu mwingine
TTCL Customer Care njooni mtujibuMbona TTCL hamnijibu
Tumia hii 0733600060Mbona ile no ya installer anapokea mtu mwingine
Naota kama ttcl hua inahujumiwa na kampuni binafsi za simu na mawasiliano kupitia mameneja na hata wakurugenzi wake wasio wazalendo. Sio hivyo hata tbc hufanyiwa hivyohivyo na radio na television binafsi.Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (T-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu maana ulipo, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate msaada toka kwa wakala wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza.
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Zifuatazo ni ofisi zetu za huduma kwa wateja ndani ya jiji la Dar es Salaam.
1. POSTA
Mtaa wa Samora, jengo la Extelecom ghorofa la Chini.
2. KARIAKOO
Mtaa wa Makamba/Msimbazi, jengo la Akamba Bus Service.
3. UPANGA
Mtaa wa Magole/Maliki, karibu na Diamond Jubilee.
4. MAGOMENI
Mtaa wa Minaki/Fundiki, karibu na Manispaa ya Kinondoni.
5. KIJITONYAMA
Kijitonyama Sayansi, barabara ya Ali Hassan Mwinyi/ Rose Garden.
6. OYSTERBAY
Barabara ya Haile Selassie.
7. UBUNGO
Jengo la Ubungo Plaza/ Ghorofa la chini.
8. MBEZI BEACH
Mbezi Makonde/ Jengo la Shamo Tower.
9. TABATA
Tabata Bima, barabara ya Segerea karibu na kanisa la Romani Katoliki.
10. CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
Jirani na tawi la benki ya NBC, jirani na kilipo kituo cha polisi cha UDSM.
11. BARABARA YA PUGU
Barabara ya Mwalimu Nyerere, karibu na Sigara.
12. WAGENI
Uwanja wa ndege.
13. PUGU
Jengo la Quality Centre, ghorofa la chini.
14. KISUTU
Mtaa wa Mchafukoge/Libya jengo la Haad Plaza.
15. TEGETA SHOP
Jengo la Kibo Complex, ghorofa la chini.
16. MWANANYAMALA SHOP
Mwananyamala A, barabara ya Mwinjuma yalipo makutano ya Mwananyamala A.
17. KURASINI
Kurasini Exchange Area, jirani na Chuo cha Diplomasia.
Wasiliana nasi:
022 210 0100
0738 151 511
www.ttcl.co.tz
#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1529645
Karibu.
Rudi Nyumbani Kumenoga
Unaota?Naota kama ttcl hua inahujumiwa na kampuni binafsi za simu na mawasiliano kupitia mameneja na hata wakurugenzi wake wasio wazalendo. Sio hivyo hata tbc hufanyiwa hivyohivyo na radio na television binafsi.
Mfano ni vipi itv/ radio one isikike kote nchini vizuri kabisa wakati tbc ya serikali hata dar tu radio huipati vizuri?
Kiongozi, hivi hizi huduma za Fiber Internet ni hadi uombee HQ (Extelcom) au hata kwenye hizi zonal office like TTCL Nyerere Rd! Nauliza kwa sababu pale HQ nimeshakosa imani napo manake haiwezekani mtu unajaza fomu kisha wanadai watatuma mtu na mtu hatokei hata baada ya kufanya follow-up! Wale wa Nyerere Rd kama hawajabadilika, zamani walikuwa fasta sana!! Mara mbili walishanipa huduma kwa kuja home within 24 hours!! Labda kwavile wana-deal sana na business community, na wao wame- adapt ile culture.Tumia hii 0733600060
Hapana, unajaza kwenye ofisi yoyote Ile ya TTCL Customer Care. Baada ya hapo atatafutwa fundi aliye karibu na wear ili aje kukufikishia huduma unayotaka.Kiongozi, hivi hizi huduma za Fiber Internet ni hadi uombee HQ (Extelcom) au hata kwenye hizi zonal office like TTCL Nyerere Rd! Nauliza kwa sababu pale HQ nimeshakosa imani napo manake haiwezekani mtu unajaza fomu kisha wanadai watatuma mtu na mtu hatokei hata baada ya kufanya follow-up! Wale wa Nyerere Rd kama hawajabadilika, zamani walikuwa fasta sana!! Mara mbili walishanipa huduma kwa kuja home within 24 hours!! Labda kwavile wana-deal sana na business community, na wao wame- adapt ile culture.
Shukrani sana mzee babaTTCL MUWE SERIOUS JAMANI LEO TARIME NZIMA HAKUNA LINE ZA TTCL!
WEKENI WATU WANAOWEZA KUIINUA COMPUNI HII.
Mwanza pia, jana nimeenda wanasema tuachie namba yako ya mtandao mwingine, ikipatikana tutakupigiaTTCL MUWE SERIOUS JAMANI LEO TARIME NZIMA HAKUNA LINE ZA TTCL!
WEKENI WATU WANAOWEZA KUIINUA COMPUNI HII.
Oktoba
Mkuu pole sana aisee.Mkuu nipe moyo tena. Oktoba ndio hii ishafika nusu .
Hivi hapa Tz kuna watu wanauza cable za fiber kama hizi zinazopita kwenye nguzo. .
Na huwa wanauza pesa ngapi kwa mita.
Nimejaribu kupitia hii www.fiberoptic.co.tz website sijaona bei zaidi ya email yao.
configuration panel
Mkono mtupu haulambwi na kumbuka kwenye uzia penyeza rupiaKiongozi, hivi hizi huduma za Fiber Internet ni hadi uombee HQ (Extelcom) au hata kwenye hizi zonal office like TTCL Nyerere Rd! Nauliza kwa sababu pale HQ nimeshakosa imani napo manake haiwezekani mtu unajaza fomu kisha wanadai watatuma mtu na mtu hatokei hata baada ya kufanya follow-up! Wale wa Nyerere Rd kama hawajabadilika, zamani walikuwa fasta sana!! Mara mbili walishanipa huduma kwa kuja home within 24 hours!! Labda kwavile wana-deal sana na business community, na wao wame- adapt ile culture.