vamda
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 867
- 536
Tabata kisukuru, eneo la majichumvi ni majanga. Mtandao upo chini sana. Ukiwasha data hizisomi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku Zaznibar ndio kabisa. Ukishuka boat hakuna lolote, zero mnara. Hakuna internet kabisa. Yaani ni km unaingia nchi nyingine, kumbe kote ni nchi moja kimuunganoUsiku wa kuamkia leo ilikuwa balaa si Intaneti wala T PESA.
Pote nilishindwa kuaccess
Kwenye mifuko ya mashati yao AU??Huo mtandao wamejaa WAZEE tu wenye bendera za lumumba usitegemee mabadiliko
Yaani bando langu la 5000 Ttcl wameamua wabaki nalo.nilikjiunga kila nikiingia net.mtandao hakuna.
Nimevunja line yao.
Hata mimi nimeunga bundle but kwa muda wa wiki nzima line haipanďishi 4G wala 3G hadi hela yote imeisha tena nipo Magomeni hapa Dar.Yaani bando langu la 5000 Ttcl wameamua wabaki nalo.nilikjiunga kila nikiingia net.mtandao hakuna.
Nimevunja line yao.
Sana mkuu nikadhani line imechoka au inashiďa yaani nilipanga kabisa niwaibukie nikaswàp but post yako imenigutusha.Yaani me wameniuzi sana
kwani NIDA na TTCL ni kitu kimoja? uwe unaelewa mada kabla ya kukoment.Acha kuwaonea ttcl, ulishawahi kupiga ile namba ya NIDA?
Umeelewa lengo langu au umeamua ucomment kwa lazima? Uwe unaelewa content kabla ya kureply.kwani NIDA na TTCL ni kitu kimoja? uwe unaelewa mada kabla ya kukoment.