Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,697
- 12,439
Hii imetokea nchini Kenya.
Kama wewe ni mtu wa mitandaoni naamini kuwa umeshaiona hii habari.
Jamaa kaoa, kwa furaha kapost picha za ndoa mtandaoni, from nowhere akatokea jamaa akapost picha akiwa faragha na mke wa jamaa wakiwa watupu.
Taarifa zisizo rasmi ni kwamba jamaa amezua timbwili kwa mke wake.
Kama wewe ni mtu wa mitandaoni naamini kuwa umeshaiona hii habari.
Jamaa kaoa, kwa furaha kapost picha za ndoa mtandaoni, from nowhere akatokea jamaa akapost picha akiwa faragha na mke wa jamaa wakiwa watupu.
Taarifa zisizo rasmi ni kwamba jamaa amezua timbwili kwa mke wake.