TrueStory: Jamaa kaoa, kapost picha, KAJUTA!

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,307
Hii imetokea nchini Kenya.

Kama wewe ni mtu wa mitandaoni naamini kuwa umeshaiona hii habari.

Jamaa kaoa, kwa furaha kapost picha za ndoa mtandaoni, from nowhere akatokea jamaa akapost picha akiwa faragha na mke wa jamaa wakiwa watupu.

Taarifa zisizo rasmi ni kwamba jamaa amezua timbwili kwa mke wake.
 
Hii imetokea nchini Kenya.

Kama wewe ni mtu wa mitandaoni naamini kuwa umeshaiona hii habari.

Jamaa kaoa, kwa furaha kapost picha za ndoa mtandaoni, from nowhere akatokea jamaa akapost picha akiwa faragha na mke wa jamaa wakiwa watupu.

Taarifa zisizo rasmi ni kwamba jamaa amezua timbwili kwa mke wake.
Bila picha huu uzi ni chai.
 
FB_IMG_17122896432960581.jpg
 
Hii imetokea nchini Kenya.

Kama wewe ni mtu wa mitandaoni naamini kuwa umeshaiona hii habari.

Jamaa kaoa, kwa furaha kapost picha za ndoa mtandaoni, from nowhere akatokea jamaa akapost picha akiwa faragha na mke wa jamaa wakiwa watupu.

Taarifa zisizo rasmi ni kwamba jamaa amezua timbwili kwa mke wake.
Vipi kama ni photo shop

Katika dunia ya leo yawezekana yote yakawa sawa.

Ila why watu wanapenda kuishi mitandaoni?
 
Kwa hiyo ukaamua kuposti bila kutuwekea picha
 
Hii imetokea nchini Kenya.

Kama wewe ni mtu wa mitandaoni naamini kuwa umeshaiona hii habari.

Jamaa kaoa, kwa furaha kapost picha za ndoa mtandaoni, from nowhere akatokea jamaa akapost picha akiwa faragha na mke wa jamaa wakiwa watupu.

Taarifa zisizo rasmi ni kwamba jamaa amezua timbwili kwa mke wake.
We jamaa kila siku hizi ndio stori zako
 
Nick odhiambo huyo.Huyo mtangazaji kajichoresha
Hii imetokea nchini Kenya.

Kama wewe ni mtu wa mitandaoni naamini kuwa umeshaiona hii habari.

Jamaa kaoa, kwa furaha kapost picha za ndoa mtandaoni, from nowhere akatokea jamaa akapost picha akiwa faragha na mke wa jamaa wakiwa watupu.

Taarifa zisizo rasmi ni kwamba jamaa amezua timbwili kwa mke wake.
 
Back
Top Bottom