Wadau mwenye taarifa za hawa watu waliita watu wakajaze form za mkataba wa kuanza kazi lakini,waliaambia mpaka mishahara yao itakapoonza kutoka ndio wataanza kazi. Je wale waliojaza form wameshaanzaaa ni miezi mitatu sana tangu wajaze form! Naomaba kuwakilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.