Treni ya shirika la reli (TRC) inayoenda mikoa ya kaskazini yalaza watu porini

Kwayu

JF-Expert Member
Nov 8, 2007
499
92
Treni ya shirika la reli (TRC) inayofanya safari mikoa ya kaskazini yakwama maporini huku abiria wakikosa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu.

Treni hiyo iliyotoka Dar jana mchana kwenda Arusha ilitarajiwa kuwasili Moshi asubuhi saa 12 leo. Ila mpaka sasa imekwama katikati ya Korogwe na Same. Mamlaka ziwaonee huruma abiria wawapelekee mabasi yawafikishe kwao.

Kuna abiria wengine ni wagonjwa wa kisukari n.k wanapata tabu sana.
 
Nilichomaanisha hapo ni kuwa na roho ya kigaidi (Roho isisyokuwa na huruma kwa walanguzi)
Hata mimi pia nimejibu kwa kumaanisha hivyo.

Unakumbuka kelele za vyuma vinebana? Je, ulibanwa na vyuma? Ulilalamika?

Kama jibu ni ndiyo, basi hutaki rais wa namna hiyo.
 
Treni ya shirika la reli (trc) inayofanya safari mikoa ya kaskazini yakwama maporini huku abiria wakikosa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu. Treni hiyo iliyotoka Dar jana mchana kwenda arusha ilitarajiwa kuwasili moshi asubuhi saa 12 leo. Ila mpaka sasa imekwama katikati ya korogwe na same. Mamlaka ziwaonee huruma abiria wawapelekee mabasi yawafikishe kwao. Kuna abiria wengine ni wagonjwa wa kisukari n.k wanapata tabu sana.
Tanzania Railways Corp njooni huku. Mnakumbuka nilichowaambia asubuhi ya Leo?
 
Back
Top Bottom