ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
na sie wakazi wa msasani,mikocheni mbona tunaonewa
usikonde mtakuwa na pantoni lenu soon..
na sie wakazi wa msasani,mikocheni mbona tunaonewa
Duh wewe kweli aiza unaishi ulaya au sijui wapi na sidhani kama ni Mtanzania!kupunguza wizi mwanachi aruhusiwe kukata ticket ya wiki au mwezi na kuwe na vituo maalumu vya kukatia ticket
watafute na mashine za kusoma ticket kwa njia ya electronic na sio kuweka konda
Jana nilishuhudia Treni ikiwa na wafanyakazi wanatengeneza Reli mitaa ya Mabibo ndani nafikiri wako kwenye process za kurekebisha, Let give him more time
usikonde mtakuwa na pantoni lenu soon..