Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,159
- 16,237
Mimi kitu ambacho sijakielewa ni cha kuwa na treni moja tu asubuhi na moja tu jioni. Kutoka Ubungo hadi mjini na Mjini hadi Ubungo. Hii kweli inalipa gharama zote za miundo mbinu na uendeshaji na kuwafanya watu wawahi makazini na kupunguza msongamano? Kwa maoni yangu ningeona afadhali zingekekuwa mbili kwa asubuhi na mbili kwa jioni.
Hii inaweza sababisha nauli ziwe kubwa ili kugharamia gharama za uendeshaji labda ndio maana SUMATRA wana kigugumizi.
Tusubiri tuone kwanza tusianze kuvuka daraja kabla hatujafika.
Napendekeza iundwe tume kuchunguza ni kwanini treni haijaanza kubeba [si kusafirisha] abiria