Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Hello,
Nimepata habari ya kwamba tray la mayai kutoka nnje ya nchi linauzwa kwa shs. 4000. Ningependa kujua haya mayai yanatoka nchi gani ?? Yamethibitishwa na tbs kuwa yanafaa kwa matumizi ya binadanu ?? Pia nauliza ni wapi naweza kuyapata mayai haya ili nitambue ubora wake?
Ahsanteni !!
Nimepata habari ya kwamba tray la mayai kutoka nnje ya nchi linauzwa kwa shs. 4000. Ningependa kujua haya mayai yanatoka nchi gani ?? Yamethibitishwa na tbs kuwa yanafaa kwa matumizi ya binadanu ?? Pia nauliza ni wapi naweza kuyapata mayai haya ili nitambue ubora wake?
Ahsanteni !!