Tray la mayai 4000 tsh.

STUNNING
Manufacturing fake eggs
In China there are fake schools and classes that teach a variety of blatant fraud technology, even eggs can be modulated by chemical materials, but also be able to fry cook, is currently the most popular False course.

Step 1 modulation of raw materials

Using 7 kinds of chemical materials, see pic below
fake_chinese_eggs_01.jpg


Fake egg was made from calcium carbonate, starch, resin, gelatin, alum and other chemical products.
Step 2 egg production
Raw egg into the mold to 2 / 3 full, put calcium chloride, colouring die, theegg appears on the film been announced.
fake_chinese_eggs_02.jpg

The 'yolk' is shaped in the round mould. 'Magic water'containing calcium chloride is used.
fake_chinese_eggs_03.jpg


By adding a yellow pigment and become raw egg yolk..
Step 3 fake egg shape
In the mold into 1 / 3 raw egg white, like the first package, like dumplingsinto the egg yolk, egg white into another, into the magic water, ashell eggs willcome slowly.Naked eggshape to 1 hour to dry after washing with water, at shellsready.


Step 4


Sewing lines through the use of eggs, immersed in paraffin wax,calcium carbonate, such as modulation of the eggshell into a solution, repeatedseveral times until the shell a little dry, immersion in cold water pumpingline shape, this point, the egg has been put on a false cloak , You're done.

fake_chinese_eggs_04.jpg


Hard shells are formed by soaking in paraffin wax onto the egg, which are thenleft to dry.
fake_chinese_eggs_05.jpg


fake_chinese_eggs_06.jpg



Oh yeah The Egg isready. The artificial egg shell is very fragile and break easily but whocares!!
Look so real


fake_chinese_eggs_07.jpg


Many small bubbles is formed during frying the egg but not manypeople can tell the difference.
The egg look exactly the same, and the eggs taste better than real but you areadding to the
statistic of food poisoning person.

fake_chinese_eggs_08.jpg


fake_chinese_eggs_09.jpg


fake_chinese_eggs_10.jpg


Why make fake eggs?
Because of money.

The cost of fakeegg is only 0.55 Yuan/kg, while the true [WINDOWS-1252?]eggs' market price is5.6 Yuan/kg.
Cases of problem foods and food poisoning are widely reported inMainland China over the last few years. In 2001, there were 185 cases of foodpoisoning, affecting about 15,715 people and causing 146 deaths. The casesdoubled in 2002. In 2003, the number of reported cases was ten times more thanthat in 2001, and the number of people suffered wasashighas29,660,including262 deathsNowInSept2008Neary53,000 Chinese children sick from contaminated milk; 4 have died


Tunahitaji watu kama wewe,asante kwa kutujuza.Umenipatia jambo ambalo sikutarajia kama linaweza kutendeka katika Dunia hii.
 
Senior Manager, kuna mdau mmoja anaitwa Tafakuru, anakampuni yake inaitwa Maverick Supplies, anapatikana kwa namba hii 0713079661. Na anapost yake humu jamvini, anasema hiyo ndiyo biashara yake. Unaweza ukawasiliana nae


~Jamani hii ni forum ya kibiashara na mambo yanayoendana na hayo. Ni mshtuko na mshangao mkubwa kama watu wengine mnaona kama ni jamvi la majungu, umbea, uzushi na kupoteza muda. Entrepreneur, sijui unaushaidi gani halisi au hata wa kimazingira kuambatanisha na wimbi la upotoshaji unaojaribu kuuandika kila leo kuhusiana na kampuni yangu. Sikujui hunijui wala hatujawai kukwaruzana popote. Taarifa chafu za mimi kujitangaza nnafanya biashara hii sijajua wewe unazitoa wapi? kama ni ushindani wa kibiashara, unachofanya ni mchezo tope ambao haukufikishi popote. How stupid would i be to air my contacts with such a business in Tz!!!!!
~Nnakuona kama mtu mwenye mawazo finyu, mchanga kibiashara, mmbea na usie na kazi za kufanya. Nmekusaidia tu ila kashfa huwa haijibiwi.
 
~Jamani hii ni forum ya kibiashara na mambo yanayoendana na hayo. Ni mshtuko na mshangao mkubwa kama watu wengine mnaona kama ni jamvi la majungu, umbea, uzushi na kupoteza muda. Entrepreneur, sijui unaushaidi gani halisi au hata wa kimazingira kuambatanisha na wimbi la upotoshaji unaojaribu kuuandika kila leo kuhusiana na kampuni yangu. Sikujui hunijui wala hatujawai kukwaruzana popote. Taarifa chafu za mimi kujitangaza nnafanya biashara hii sijajua wewe unazitoa wapi? kama ni ushindani wa kibiashara, unachofanya ni mchezo tope ambao haukufikishi popote. How stupid would i be to air my contacts with such a business in Tz!!!!!
~Nnakuona kama mtu mwenye mawazo finyu, mchanga kibiashara, mmbea na usie na kazi za kufanya. Nmekusaidia tu ila kashfa huwa haijibiwi.

Mkuu hapo kwenye red ni maneno mazito sana, hebu pitia hizi post zako kwanza, halafu nitarudi labda utaniambia ni uposhoshaji gani ninaoufanya kila leo kwa ushahidi wa maandishi kama ninavyofanya mimi hapa chini.
Maverick supplies ni kampuni inayojiendesha kwa uuzaji wa mayai ya kienyeji na kisasa. Kwa sasa, stock ya mayai ya kisasa ipo ya kutosha sana. Kwa mwenye mahitaji ya mayai hotelini, shuleni, hospitali, bakery, catering services, majumbani na sehem kama hizo. Tuwasiliane kwa namba kuweka order ya mayai.
Karibuni sana
Maverick supplies, ni kampuni inayoshughulika na uuzaji wa mazao ya chakula hasa mayai na matikiti maji. Kwa yeyote mwenye mahitaji ya kuuziwa bidhaa izi kwa tender au kwa jumla, naomba afanye mawasiliano na mkurugenzi wa kampuni kupitia 0713079661 kwa maelewano ya kibiashara
 
picha yenyewe inatisha hata ya hayo mayai yanavyoonekana hata huwezi kuyanunua, cheki humohttp://www.mwananchi.co.tz/mwananchi-jumapili/41-biashara-mwananchi-jumapili/20576-mayai-feki-yatua-dar
 
~Jamani hii ni forum ya kibiashara na mambo yanayoendana na hayo. Ni mshtuko na mshangao mkubwa kama watu wengine mnaona kama ni jamvi la majungu, umbea, uzushi na kupoteza muda. Entrepreneur, sijui unaushaidi gani halisi au hata wa kimazingira kuambatanisha na wimbi la upotoshaji unaojaribu kuuandika kila leo kuhusiana na kampuni yangu. Sikujui hunijui wala hatujawai kukwaruzana popote. Taarifa chafu za mimi kujitangaza nnafanya biashara hii sijajua wewe unazitoa wapi? kama ni ushindani wa kibiashara, unachofanya ni mchezo tope ambao haukufikishi popote. How stupid would i be to air my contacts with such a business in Tz!!!!!
~Nnakuona kama mtu mwenye mawazo finyu, mchanga kibiashara, mmbea na usie na kazi za kufanya. Nmekusaidia tu ila kashfa huwa haijibiwi.

Mkuu mimi siwezi malumbano hivyo sitajikita kwenye hizo kashfa zako ulizonirushia kwani sijaona kama zinabadili ukweli kuhusu mimi ila kabla sijakuomba msamaa, hebu pia post hizi
1. 1. Nnasupply mayai na matikiti maji idadi yeyote unayotaka
2. Kwa anayehitaji mayai ya kisasa tuwasiliane

Sina haja ya kukwambia namna ninavyoiheshimu privacy yako , but kuweka contact zako humu inamaana zimeingia kwenye public domain. Vilevile ninaheshimu nisiemjua na ninayemjua pia awe mkubwa kunizidi au mdogo wa kumzaa.

Mkuu hakuna sehemu yoyote katika post yoyote niliwahi kumkashfu yeyote muchless wewe (iwe ni kwa bahati mbaya au makusudi). Nipo makini sana kuchagua aina ya maneno ninayoyatumia. Ukipata muda angalia michango yangu kwenye post zako zote, kama kuna sehemu nimesema (hata by implication) kuwa unasambaza mayai feki. Senior Manager wa JF alihitaji information za mtu anayesambaza mayai na wewe ulikuwa na bango lako lenye mawasiliano yako na kampuni yako hivyo nikaona ni vyema kumpatia bila kucomment chochote.

Napenda uelewe kuwa sipo kwenye biashara ya ufugaji wa kuku, uuzaji wa mayai au uuzaji wa matikiti maji. Na wala sitegemei kuwa kwenye biashara ya namna hii, ingawa nilishawahi kujishughulisha na ufugaji mkubwa wa kuku wakati nikiwa mdogo. Hata hivyo hukuhitaji kutumia hasira sana na kurusha hayo makombora yako na kashfa mfululizo kwani hata habari iliyotolewa na Tanzania daima (ambayo mimi niliipost humu) inazungumzia kampuni ya Morning Fresh na si Maverick Supplies.

Sasa mpaka hapa kama kweli wewe ni muungwana na uungwana ni vitendo, basi utakuwa umeshajua ni nani anastahili kuomba mwenzie msamaha na kufuta kauli. Kama ni mimi basi nisamehe na kama ni wewe basi nimeshakusameee. Tuendeleze mapambano katika kujenga uchumi wa familia zetu na nchi kwa ujumla, kwani malumbano ya namna hii hayana afya. Aksante
 
Mkuu mimi siwezi malumbano hivyo sitajikita kwenye hizo kashfa zako ulizonirushia kwani sijaona kama zinabadili ukweli kuhusu mimi ila kabla sijakuomba msamaa, hebu pia post hizi
1. 1. Nnasupply mayai na matikiti maji idadi yeyote unayotaka
2. Kwa anayehitaji mayai ya kisasa tuwasiliane

Sina haja ya kukwambia namna ninavyoiheshimu privacy yako , but kuweka contact zako humu inamaana zimeingia kwenye public domain. Vilevile ninaheshimu nisiemjua na ninayemjua pia awe mkubwa kunizidi au mdogo wa kumzaa.

Mkuu hakuna sehemu yoyote katika post yoyote niliwahi kumkashfu yeyote muchless wewe (iwe ni kwa bahati mbaya au makusudi). Nipo makini sana kuchagua aina ya maneno ninayoyatumia. Ukipata muda angalia michango yangu kwenye post zako zote, kama kuna sehemu nimesema (hata by implication) kuwa unasambaza mayai feki. Senior Manager wa JF alihitaji information za mtu anayesambaza mayai na wewe ulikuwa na bango lako lenye mawasiliano yako na kampuni yako hivyo nikaona ni vyema kumpatia bila kucomment chochote.

Napenda uelewe kuwa sipo kwenye biashara ya ufugaji wa kuku, uuzaji wa mayai au uuzaji wa matikiti maji. Na wala sitegemei kuwa kwenye biashara ya namna hii, ingawa nilishawahi kujishughulisha na ufugaji mkubwa wa kuku wakati nikiwa mdogo. Hata hivyo hukuhitaji kutumia hasira sana na kurusha hayo makombora yako na kashfa mfululizo kwani hata habari iliyotolewa na Tanzania daima (ambayo mimi niliipost humu) inazungumzia kampuni ya Morning Fresh na si Maverick Supplies.

Sasa mpaka hapa kama kweli wewe ni muungwana na uungwana ni vitendo, basi utakuwa umeshajua ni nani anastahili kuomba mwenzie msamaha na kufuta kauli. Kama ni mimi basi nisamehe na kama ni wewe basi nimeshakusameee. Tuendeleze mapambano katika kujenga uchumi wa familia zetu na nchi kwa ujumla, kwani malumbano ya namna hii hayana afya. Aksante
kiumri au kimtaji?
 
STUNNING
Manufacturing fake eggs
In China there are fake schools and classes that teach a variety of blatant fraud technology, even eggs can be modulated by chemical materials, but also be able to fry cook, is currently the most popular False course.

Step 1 modulation of raw materials

Using 7 kinds of chemical materials, see pic below
fake_chinese_eggs_01.jpg


Fake egg was made from calcium carbonate, starch, resin, gelatin, alum and other chemical products.
Step 2 egg production
Raw egg into the mold to 2 / 3 full, put calcium chloride, colouring die, theegg appears on the film been announced.
fake_chinese_eggs_02.jpg

The 'yolk' is shaped in the round mould. 'Magic water'containing calcium chloride is used.
fake_chinese_eggs_03.jpg


By adding a yellow pigment and become raw egg yolk..
Step 3 fake egg shape
In the mold into 1 / 3 raw egg white, like the first package, like dumplingsinto the egg yolk, egg white into another, into the magic water, ashell eggs willcome slowly.Naked eggshape to 1 hour to dry after washing with water, at shellsready.


Step 4


Sewing lines through the use of eggs, immersed in paraffin wax,calcium carbonate, such as modulation of the eggshell into a solution, repeatedseveral times until the shell a little dry, immersion in cold water pumpingline shape, this point, the egg has been put on a false cloak , You're done.

fake_chinese_eggs_04.jpg


Hard shells are formed by soaking in paraffin wax onto the egg, which are thenleft to dry.
fake_chinese_eggs_05.jpg


fake_chinese_eggs_06.jpg



Oh yeah The Egg isready. The artificial egg shell is very fragile and break easily but whocares!!
Look so real


fake_chinese_eggs_07.jpg


Many small bubbles is formed during frying the egg but not manypeople can tell the difference.
The egg look exactly the same, and the eggs taste better than real but you areadding to the
statistic of food poisoning person.

fake_chinese_eggs_08.jpg


fake_chinese_eggs_09.jpg


fake_chinese_eggs_10.jpg


Why make fake eggs?
Because of money.

The cost of fakeegg is only 0.55 Yuan/kg, while the true [WINDOWS-1252?]eggs' market price is5.6 Yuan/kg.
Cases of problem foods and food poisoning are widely reported inMainland China over the last few years. In 2001, there were 185 cases of foodpoisoning, affecting about 15,715 people and causing 146 deaths. The casesdoubled in 2002. In 2003, the number of reported cases was ten times more thanthat in 2001, and the number of people suffered wasashighas29,660,including262 deathsNowInSept2008Neary53,000 Chinese children sick from contaminated milk; 4 have died

yani hapa cancer nnje nnje....kwa hali hii tutapona kweli ??? dah Ukicheck kuku wanapewa ARV, mayai feki nayo kibao, chips nazo wanakaanga na mafuta ya transfomer, samaki wanaokaangwa feri ndio uchafu mtupu. TFDA ina kazi au manufaa gani kwa jamii sasa ?? Huo utumbo (intestine) utastahimili haya masumu kweli ??? dah...Tanzania cjui tunaelekea wapi kwa kweli.....Mi na suggest watu wa namna hii wakikamatwa wapigwe life improsonment cz huu ni uuaji kabisa.
 
kuna taarifa kuwa huko kenya kuna wazalishaji wakubwa wa mayai ambao walitarajia ku export mayai nchi za kiarabu lakini kutokana kuwa chini ya kiwango(ubora) wakashindwa, sasa waya peleke wapi? kuliko kuyateteza wanayauza kwa bei ya hasara kwa wachuuzi wanaojua udhaifu wa TZ katika kudhibiti bidhaa mbovu, hizi habari nimezipata kwa rafiki mtanzania anaish kenya
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom