Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,734
- 2,265
Hongera Dr Mpango.kulifuatilia hili lalamiko na kutoa maagizo ya kutatua kero hii.
![]()
Tunashukuru kwa serikali kufuatilia.
Hayo tunayosema si majungu, ni ukweli kabisa.
In the long run, TA itaikosesha mapato serikali, kwa jinsi wanavyo disenfranchise walipakodi, hasa wazalendo