Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,734
- 2,265
Mkuu minyoo, umenena!Watumishi wengi wa TRA wanamiliki mali majumba kinyume na vipato vya halisi
Mkuu minyoo, umenena!Watumishi wengi wa TRA wanamiliki mali majumba kinyume na vipato vya halisi
haya bwana tunalipa kodi na kufunga biashara eeeeh?????Lipeni kodi au mfunge biashara hizo nyingine ni kelele tu, hazijengi nchi !
Wao ni wanufaika wakubwa wa utekelezaji sheria hizo. Wengi wananuka rushwa. Wengi ni wala rushwa wakubwaNaunga mkono sheria nyingi za Kodi ni kandamizi, TRA ni watekelezaji tu wakulaumiwa ni wawakilishi wetu bungeni waliotunga na kupitisha sheria hizo.Pitieni upya sheria za Kodi ziwe rafiki kwa pande zote mbili.TRA wakiamua kusimamia sheria ipaswavyo ni vilio na kusaga meno kwa walipa kodi.
Hawa Ni wagggagagagigikokohaya bwana tunalipa kodi na kufunga biashara eeeeh?????
Nina pendekeza Serikali iwachunguze wafanyakazi wake wa TRA na mali wanazomiliki.Wao ni wanufaika wakubwa wa utekelezaji sheria hizo. Wengi wananuka rushwa. Wengi ni wala rushwa wakubwa
CAG wa sasa Ndg Kichere, aliwahi kuwa Commissioner General wa TRA, wakati wizi huuunaanza kuoga mizizi.Wao ni wanufaika wakubwa wa utekelezaji sheria hizo. Wengi wananuka rushwa. Wengi ni wala rushwa wakubwa
CAG wa sasa Ndg Kichere, aliwahi kuwa Commissioner General wa TRA, wakati wizi huuunaanza kuoga mizizi.
Kwa hali inavyoelekeawalikuwa wanatekeleza amri toka juu namna ya kuibia wananchi wake.
Wameneemeka sana na uhuni wao wa kukusanya kodi moja mara mbili mbili. Wamekula sana rushwaNina pendekeza Serikali iwachunguze wafanyakazi wake wa TRA na mali wanazomiliki.
Wafanyakazi hao si wengi kiasi cha kushindwa kudhibiti jinsi walivyojipatia mapato yatokanayo na rushwa.
Ni kweli kabisa.Dhuluma tupu