Android 00
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 774
- 221
Tujiulize je Hawa TRA wamewapa mitaji ya kufanya biashara hawa wafanyabiashara?
Ikiwa wao wako maofisini wanataka wakusanyiwe pesa nyingi zaidi kuliko faida anayopata mfanyabiashara kwa kila bidhaa anayouza nani tutegemee atawakubalia?
Serikali inashindana na nguvu ya umma lkn kwa hili lazima watarudi kwenye meza.
Kulikua na utaratibu wa makadirio ya kila mwaka kila mfanyabiashara, huu ulikua mpango mzuri sana lkn kwakua maofisini kumekosekana watendaji waaminifu imeonekana mashine ndio zinafaa kudhibiti upotevu wa pesa.
Wametolewa watendaji wa tra kwenda kusomea uendeshaji wa mashine Dubai na zimetumika pesa nyingi sana za walipa kodi badala yake yaneletwa mambo yasioeleweka.
Ninachopenda kuwashauri TRA kama wanapenda waendelee kukusanya kodi kwa umakini wapange safu nzur maofisini na waendelee kuwatathimini wafanyabiashara kama zamani ila sasa waje na utaratibu huu:
Duka la nguo la aina yoyote kodi ni 200000 kwa mwezi.
Duka la mchele 150000.
Duka la viatu ......
Duka la simu .......
Duka la ice cream .......
na inaendelea ivo ivo, isipokua kodi zitofautiane na maeneo ya duka lilipo.
mf: kariakoo kodi yao
mbagala Kodi yao
mwenge kodi yao
arusha kodi yao
na kwengineko.
ahsante
nawakilisha.
Ikiwa wao wako maofisini wanataka wakusanyiwe pesa nyingi zaidi kuliko faida anayopata mfanyabiashara kwa kila bidhaa anayouza nani tutegemee atawakubalia?
Serikali inashindana na nguvu ya umma lkn kwa hili lazima watarudi kwenye meza.
Kulikua na utaratibu wa makadirio ya kila mwaka kila mfanyabiashara, huu ulikua mpango mzuri sana lkn kwakua maofisini kumekosekana watendaji waaminifu imeonekana mashine ndio zinafaa kudhibiti upotevu wa pesa.
Wametolewa watendaji wa tra kwenda kusomea uendeshaji wa mashine Dubai na zimetumika pesa nyingi sana za walipa kodi badala yake yaneletwa mambo yasioeleweka.
Ninachopenda kuwashauri TRA kama wanapenda waendelee kukusanya kodi kwa umakini wapange safu nzur maofisini na waendelee kuwatathimini wafanyabiashara kama zamani ila sasa waje na utaratibu huu:
Duka la nguo la aina yoyote kodi ni 200000 kwa mwezi.
Duka la mchele 150000.
Duka la viatu ......
Duka la simu .......
Duka la ice cream .......
na inaendelea ivo ivo, isipokua kodi zitofautiane na maeneo ya duka lilipo.
mf: kariakoo kodi yao
mbagala Kodi yao
mwenge kodi yao
arusha kodi yao
na kwengineko.
ahsante
nawakilisha.