macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 22,418
- 41,104
Inamana kabla ya hizo mashine za EfD hao wafanyabiashara walikuwa hawalipi kodi??
Ni rahisi kukwepa kodi kwa kutumia hizo mashine kuliko tunavyodhani.
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
Hata kama ipo mbinu ya kukwepa kodi kwa kutumia hizi mashine lakini KUKAMATIKA NI RAHISI SANA, na utakapokamatwa ukwepaji wako wako kona utajionyesha in detail in terms of amount and time. Hili ndilo linalowaogopesha wafanya biashara.