nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Serikali imewajengea uwezo hao wakulima unaosema wanatakiwa kuijenga nchi yao?Ndo maana tunasema tanzania upinzani ulishakufa ,hivu hii nguvu mnayoitumia kuonesha wakulima wazalendo watanzania kuwa wanaonewa na serikali yao, kwanini msingeitumia kuwaelimisha umuhimu wa kuchangia au kulipa kodi kwa moyo mkunjufu maana wao ni jukumu lao kujenga nchi sababu ni watanzania na nchi haiwezi jengwa na na watu wa nchi jirani?