So watajifunzaKama na wakulima nao watatakiwa waanze kulipa kodi itakuwa ni jambo jema sana sababu wamekuwa wanatuangusha kwenye chaguzi nyingi
Hao ndio waliodanganywa kwa peremende kuwa ukiwa na tani mbili za nafaka unazosafirisha hakuna mtu atakaye kuhoji ushuru.Utawaonea tu watu wa Mungu.
Anayechagua mwingine,lawama umpe mkulima?
Walima mpunga/walimbikizaji wa magunia ya mpunga huku mkisubiri bei jiandaeni
Ndio watajua hawajui mzee baba.Mkuu hivi unawafahamu wakulima kweli?Wakulima huuza mazao yao wakati mwingine yakiwa bado shambani.Hao wanaotunza stock ya mazao ni wafanya biashara au wachuuzi wa mazao.Mfano kule Kahama kuna wafanyabiashara wakubwa wanama godown ya kuhifadhi mpunga hata miaka mitatu wakisubiri bei ipande.
Wakulima wengi hawawezi kuwa na uwezo huo wa kuvumilia bei ipande
Umenena vyema japo wapo wakulima wa aina nyingi. Huwezi kusema Sumry Ncha Kali aliyelazimika kuachana na biashara ya mabasi akaingia katika kilimo hana uwezo wa kusubiri bei!!!!! Vivyohivyo kwa mtoto wa mkulima mr Kayanza.Mkuu hivi unawafahamu wakulima kweli?Wakulima huuza mazao yao wakati mwingine yakiwa bado shambani.Hao wanaotunza stock ya mazao ni wafanya biashara au wachuuzi wa mazao.Mfano kule Kahama kuna wafanyabiashara wakubwa wanama godown ya kuhifadhi mpunga hata miaka mitatu wakisubiri bei ipande.
Wakulima wengi hawawezi kuwa na uwezo huo wa kuvumilia bei ipande
Huku Kwenye korosho tutampiga kipaipai asituletee mchezo kabisaaa!!!Wakulima wa korosho jipangeni, Jiwe anawamulika kwa karibu sana
m5 TENA
Hahahahaaaaaa M5 tenaHuku Kwenye korosho tutampiga kipaipai asituletee mchezo kabisaaa!!!
Tena asithubutu kutugusa