Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 3,952
- 5,982
Wadau nnaomba mnisaidie hili.Tanzania ni moja na ina katiba moja ambayo ndo inatumika Bara na Visiwani.Tanzania Ina kusanya Kodi nchi nzima kwa kupitia TRA ambayo ipo kwa Mujibu wa Katiba ya Nchi hii. Iweje uwezi tumia Gari yenye namba za ZNZ apa Bara?
Iweje unatakiwa ulipe tena Kodi apa Bara ili uweze tumia Gari lililosajiriwa Zanzibar?
Je huku sio kukiuka Katiba?Je apa Serikali kupitia TRA aiwanyonyi Raia kimakusudi?
Wadau nisaidieni
Iweje unatakiwa ulipe tena Kodi apa Bara ili uweze tumia Gari lililosajiriwa Zanzibar?
Je huku sio kukiuka Katiba?Je apa Serikali kupitia TRA aiwanyonyi Raia kimakusudi?
Wadau nisaidieni