TRA kutokutoa elimu ya mambo kama haya ndio yanaleta mianya ya rushwa.Ukitoa rushwa unapigiwa rate ya wakati huo,ukikataa wanakupigia rate ya sasa.Hapa maswali ni mengi saana. Hiyo bei ya gari wakati mpya;
1. Inaamuliwa kwa soko gani? Maana mfano toyota inatengeneza kila nchi.
2. Halafu ya pili kama ni market value, basi ya kwanza inabidi iwe historical hadi kwenye exchange rates. Wao wanafanyaje?
Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya used motorvehicles...
Mfumo mpya utakuwa kama ifuatavyo...Used vehicles zitakuwa valued on either ex-factory FOB au market value in local market...
Fuatilia link HII
Nianze na ex factory FOB..
Kwenye mfumo hu, TRA wataestablish database itakayo kuwa na bei za magari kipindi yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza...labda nitoe mfano mana kidogo ina mahesabu
Mfano: Mtu akiagiza gari aina ya Toyota Premio 2001 model..hapo ina maana hii gari imezidi miaka kumi tokea itengenezwe...kwa hilo bei pungufu itakayoruhusiwa ni asilimia 70% ya bei ilipoingia sokoni kwa mara ya kwanza..PREMIO bei yake ya awali sokoni ilikuwa USD 40,000 kwa huko Japan...
Kwa maana hiyo FOB ex factory itakuwa USD 40,000 toa 28,000 (70% of USD 40,000) = USD 12,000 na hiyo ndo itakuwa Customs Value ambayo itakuwa subjected kwenye Import Duty, Excise Duty, VAT na uchakavu (kama upo)....
Kwa namna hiyo kodi jumla itakuwa kama ifuatavyo
Import duty (ID)=0.25*12,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(12,000+0.25*12,000)
Excise (E) =0.1*(12,000+0.25*12,000)
VAT= 0.18* (12,000+ID+DF+E)
Hii ni tofauti na bei za sasa ambazo weza kuagiza premio ya mwaka 2001 kwa CIF ya USD 3,000 to USD 3,500...na kodi ingekuwa kama ifuatavyo
ukiweka na uchakavu
Import Duty (ID)=0.25*,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(3,000+0.25*3,000)
Excise (E) =0.1*(3,000+0.25*3,000)
VAT= 0.18* (3,000+ID+DF+E)
Market Valuation Method
Kwa market value method watachukua bei za sokoni Tanzania na kutoa profit margin ya asilimia 25 na kutoa gharama za kodi zilizolipiwa ili waeze kupata CIF kipindi gari linaingia nchini...Mfumo huu utatumika pale tu ambapo bei halisi wakati gari linaingia sokoni kwa mara ya kwanza itakuwa ni vigumu kujulikana...
Nachotaka kujua JE nchi yetu imejitoa kwenye World Trade Organisation? Na kama ni hivyo mbona ukiingia kwenye mtandao wa WTO bado TZ ni member country? Mana kwenye makubaliano ya WTO mfumo wa Customs valuation ni tofauti na huu unaoanza kutumika nchini..
Wadau naomba mawazo yenu
Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya used motorvehicles...
Mfumo mpya utakuwa kama ifuatavyo...Used vehicles zitakuwa valued on either ex-factory FOB au market value in local market...
Fuatilia link HII
Nianze na ex factory FOB..
Kwenye mfumo hu, TRA wataestablish database itakayo kuwa na bei za magari kipindi yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza...labda nitoe mfano mana kidogo ina mahesabu
Mfano: Mtu akiagiza gari aina ya Toyota Premio 2001 model..hapo ina maana hii gari imezidi miaka kumi tokea itengenezwe...kwa hilo bei pungufu itakayoruhusiwa ni asilimia 70% ya bei ilipoingia sokoni kwa mara ya kwanza..PREMIO bei yake ya awali sokoni ilikuwa USD 40,000 kwa huko Japan...
Kwa maana hiyo FOB ex factory itakuwa USD 40,000 toa 28,000 (70% of USD 40,000) = USD 12,000 na hiyo ndo itakuwa Customs Value ambayo itakuwa subjected kwenye Import Duty, Excise Duty, VAT na uchakavu (kama upo)....
Kwa namna hiyo kodi jumla itakuwa kama ifuatavyo
Import duty (ID)=0.25*12,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(12,000+0.25*12,000)
Excise (E) =0.1*(12,000+0.25*12,000)
VAT= 0.18* (12,000+ID+DF+E)
Hii ni tofauti na bei za sasa ambazo weza kuagiza premio ya mwaka 2001 kwa CIF ya USD 3,000 to USD 3,500...na kodi ingekuwa kama ifuatavyo
ukiweka na uchakavu
Import Duty (ID)=0.25*,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(3,000+0.25*3,000)
Excise (E) =0.1*(3,000+0.25*3,000)
VAT= 0.18* (3,000+ID+DF+E)
Market Valuation Method
Kwa market value method watachukua bei za sokoni Tanzania na kutoa profit margin ya asilimia 25 na kutoa gharama za kodi zilizolipiwa ili waeze kupata CIF kipindi gari linaingia nchini...Mfumo huu utatumika pale tu ambapo bei halisi wakati gari linaingia sokoni kwa mara ya kwanza itakuwa ni vigumu kujulikana...
Nachotaka kujua JE nchi yetu imejitoa kwenye World Trade Organisation? Na kama ni hivyo mbona ukiingia kwenye mtandao wa WTO bado TZ ni member country? Mana kwenye makubaliano ya WTO mfumo wa Customs valuation ni tofauti na huu unaoanza kutumika nchini..
Wadau naomba mawazo yenu
Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya used motorvehicles...
Mfumo mpya utakuwa kama ifuatavyo...Used vehicles zitakuwa valued on either ex-factory FOB au market value in local market...
Fuatilia link HII
Nianze na ex factory FOB..
Kwenye mfumo hu, TRA wataestablish database itakayo kuwa na bei za magari kipindi yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza...labda nitoe mfano mana kidogo ina mahesabu
Mfano: Mtu akiagiza gari aina ya Toyota Premio 2001 model..hapo ina maana hii gari imezidi miaka kumi tokea itengenezwe...kwa hilo bei pungufu itakayoruhusiwa ni asilimia 70% ya bei ilipoingia sokoni kwa mara ya kwanza..PREMIO bei yake ya awali sokoni ilikuwa USD 40,000 kwa huko Japan...
Kwa maana hiyo FOB ex factory itakuwa USD 40,000 toa 28,000 (70% of USD 40,000) = USD 12,000 na hiyo ndo itakuwa Customs Value ambayo itakuwa subjected kwenye Import Duty, Excise Duty, VAT na uchakavu (kama upo)....
Kwa namna hiyo kodi jumla itakuwa kama ifuatavyo
Import duty (ID)=0.25*12,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(12,000+0.25*12,000)
Excise (E) =0.1*(12,000+0.25*12,000)
VAT= 0.18* (12,000+ID+DF+E)
Hii ni tofauti na bei za sasa ambazo weza kuagiza premio ya mwaka 2001 kwa CIF ya USD 3,000 to USD 3,500...na kodi ingekuwa kama ifuatavyo
ukiweka na uchakavu
Import Duty (ID)=0.25*,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(3,000+0.25*3,000)
Excise (E) =0.1*(3,000+0.25*3,000)
VAT= 0.18* (3,000+ID+DF+E)
Market Valuation Method
Kwa market value method watachukua bei za sokoni Tanzania na kutoa profit margin ya asilimia 25 na kutoa gharama za kodi zilizolipiwa ili waeze kupata CIF kipindi gari linaingia nchini...Mfumo huu utatumika pale tu ambapo bei halisi wakati gari linaingia sokoni kwa mara ya kwanza itakuwa ni vigumu kujulikana...
Nachotaka kujua JE nchi yetu imejitoa kwenye World Trade Organisation? Na kama ni hivyo mbona ukiingia kwenye mtandao wa WTO bado TZ ni member country? Mana kwenye makubaliano ya WTO mfumo wa Customs valuation ni tofauti na huu unaoanza kutumika nchini..
Wadau naomba mawazo yenu
Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya used motorvehicles...
Mfumo mpya utakuwa kama ifuatavyo...Used vehicles zitakuwa valued on either ex-factory FOB au market value in local market...
Fuatilia link HII
Nianze na ex factory FOB..
Kwenye mfumo hu, TRA wataestablish database itakayo kuwa na bei za magari kipindi yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza...labda nitoe mfano mana kidogo ina mahesabu
Mfano: Mtu akiagiza gari aina ya Toyota Premio 2001 model..hapo ina maana hii gari imezidi miaka kumi tokea itengenezwe...kwa hilo bei pungufu itakayoruhusiwa ni asilimia 70% ya bei ilipoingia sokoni kwa mara ya kwanza..PREMIO bei yake ya awali sokoni ilikuwa USD 40,000 kwa huko Japan...
Kwa maana hiyo FOB ex factory itakuwa USD 40,000 toa 28,000 (70% of USD 40,000) = USD 12,000 na hiyo ndo itakuwa Customs Value ambayo itakuwa subjected kwenye Import Duty, Excise Duty, VAT na uchakavu (kama upo)....
Kwa namna hiyo kodi jumla itakuwa kama ifuatavyo
Import duty (ID)=0.25*12,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(12,000+0.25*12,000)
Excise (E) =0.1*(12,000+0.25*12,000)
VAT= 0.18* (12,000+ID+DF+E)
Hii ni tofauti na bei za sasa ambazo weza kuagiza premio ya mwaka 2001 kwa CIF ya USD 3,000 to USD 3,500...na kodi ingekuwa kama ifuatavyo
ukiweka na uchakavu
Import Duty (ID)=0.25*,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(3,000+0.25*3,000)
Excise (E) =0.1*(3,000+0.25*3,000)
VAT= 0.18* (3,000+ID+DF+E)
Market Valuation Method
Kwa market value method watachukua bei za sokoni Tanzania na kutoa profit margin ya asilimia 25 na kutoa gharama za kodi zilizolipiwa ili waeze kupata CIF kipindi gari linaingia nchini...Mfumo huu utatumika pale tu ambapo bei halisi wakati gari linaingia sokoni kwa mara ya kwanza itakuwa ni vigumu kujulikana...
Nachotaka kujua JE nchi yetu imejitoa kwenye World Trade Organisation? Na kama ni hivyo mbona ukiingia kwenye mtandao wa WTO bado TZ ni member country? Mana kwenye makubaliano ya WTO mfumo wa Customs valuation ni tofauti na huu unaoanza kutumika nchini..
Wadau naomba mawazo yenu
Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya used motorvehicles...
Mfumo mpya utakuwa kama ifuatavyo...Used vehicles zitakuwa valued on either ex-factory FOB au market value in local market...
Fuatilia link HII
Nianze na ex factory FOB..
Kwenye mfumo hu, TRA wataestablish database itakayo kuwa na bei za magari kipindi yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza...labda nitoe mfano mana kidogo ina mahesabu
Mfano: Mtu akiagiza gari aina ya Toyota Premio 2001 model..hapo ina maana hii gari imezidi miaka kumi tokea itengenezwe...kwa hilo bei pungufu itakayoruhusiwa ni asilimia 70% ya bei ilipoingia sokoni kwa mara ya kwanza..PREMIO bei yake ya awali sokoni ilikuwa USD 40,000 kwa huko Japan...
Kwa maana hiyo FOB ex factory itakuwa USD 40,000 toa 28,000 (70% of USD 40,000) = USD 12,000 na hiyo ndo itakuwa Customs Value ambayo itakuwa subjected kwenye Import Duty, Excise Duty, VAT na uchakavu (kama upo)....
Kwa namna hiyo kodi jumla itakuwa kama ifuatavyo
Import duty (ID)=0.25*12,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(12,000+0.25*12,000)
Excise (E) =0.1*(12,000+0.25*12,000)
VAT= 0.18* (12,000+ID+DF+E)
Hii ni tofauti na bei za sasa ambazo weza kuagiza premio ya mwaka 2001 kwa CIF ya USD 3,000 to USD 3,500...na kodi ingekuwa kama ifuatavyo
ukiweka na uchakavu
Import Duty (ID)=0.25*,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(3,000+0.25*3,000)
Excise (E) =0.1*(3,000+0.25*3,000)
VAT= 0.18* (3,000+ID+DF+E)
Market Valuation Method
Kwa market value method watachukua bei za sokoni Tanzania na kutoa profit margin ya asilimia 25 na kutoa gharama za kodi zilizolipiwa ili waeze kupata CIF kipindi gari linaingia nchini...Mfumo huu utatumika pale tu ambapo bei halisi wakati gari linaingia sokoni kwa mara ya kwanza itakuwa ni vigumu kujulikana...
Nachotaka kujua JE nchi yetu imejitoa kwenye World Trade Organisation? Na kama ni hivyo mbona ukiingia kwenye mtandao wa WTO bado TZ ni member country? Mana kwenye makubaliano ya WTO mfumo wa Customs valuation ni tofauti na huu unaoanza kutumika nchini..
Wadau naomba mawazo yenu
Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya magari
kiukwel TRA imekuwa ni chachu ya kukusanya mapato ya serikali hususani katik nyanja mbali mbali hasa kwa wafanya biashara wakubwa na wadogo.
Kwa kawaida TRA na team yake wanafanya kazi nzuri sana kuhakikisha nchi inapata pato lake kwa wakati ili kuwezesha huduma nyingine za kijamii kutekelezeka kwa urahisi.
Kwa maoni yangu binafsi huu mfumo mpya ni mzuri sana maana utahakikisha kwamba magari yote yanayoingia nchini kwetu yameingia kwa halali na kulipiwa ushuru/kodi kama viwango vya kodi vya nchi vinavyoeleza.
mungu ibariki TRA na mungu uwabariki wafanyakazi wake wote wa idara zote.
Ivi kweli ntanunua noah mwaka huu? Au nisubiri miaka elfu??.Wadau
Kwa hili tweza pinga mahakamani. Nchi yetu ilijiunga na WTO mwaka 1995, makubaliano ya kuwa ndani ya WTO ni pamoja na kukubali uniform way za kudetermine customs value on imported goods. Sasa TRA wamepata wapi nguvu kukiuka taratibu zilizowekwa saini kabla hata TRA haijaundwa? Au ndo nguvu ya DOLAAAAAAAAAAAAAA
Dah mkuu watu wanatafuta solutions we unasubiri ile kwa watanzania wenzako waloagiza afu wakashindwa kulipia dues zao? Emu tusubiri hiyo auction kama itakua na manufaaMancity.. nchi yetu huwa haithamini au haisomi makubaliano wanayosaini... they may reverse this decision lakini take it from me, we may face alot of auctions ya used unclaimed vehicles kuanzia august hadi november mwaka huu...
dont import, keep your cash and wait for auctions