PakavuNateleza
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 1,104
- 1,294
nimesema na nitaendelea kusema hii nchi iko hivi kwa sababu hatujawahi kupigana so kuna watu wanaona hii nchi ni yao na wengine ni wapangaji tuu.if we dont do something iko siku na kodi ya kichwa itaridishwa.mark my word