cedrickngowi
Senior Member
- Jun 9, 2012
- 148
- 23
DANGALILA CHIOKO-Dododma.
pelepeche mwaipumbugilage-nilisoma nae mwakaleli sec mwaka 1992-1995
Kuna jamaa yangu anaitwa Andrekatenkancha Vangilisasi. Hili jina lilimpa shida sana mkuu wa shule msaidizi kulitamka. Kama yupo JF huyu ndugu Vangilisasi naomba ani PM tukumbushane habari za enzi hizo tukiwa shule.
Huyu atakuwa mhamiaji haramu kutoka Madagascar.
Una utani na wasukuma?Amani Jidulamabambasi Nzugile [R.I.P] Ng'wizukulu Jilala Ng'wizukulu [R.I.P] Andendekisye Mwakasakafyuka Mkatakona Peleka - Huyu jamaa alikuwa anasoma Ilboru Kipanya Malapa Nshimba Ng'wanang'wallu Masunga Mayaya Shisalyandumi Paradiso Palamagamba Kabudi Lutanigwa Lutasagwa Madata Lubigisa Madata Maduhu Iteghete Madoba
Una utani na wasukuma?
Top ten wonderful names from Tanzania
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO- Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.
2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA - Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka 1998.
3. Ndugu ABDALLAH NYUNDO KICHECHE- Mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Minaki mwaka 2002.
4. Ndugu MASANINGA SUMAKU POMBOJOLOWE- Dereva wa mabasi ya Hood.
5. Koplo RUBYENEKO MUGANYIZI BYOMBARIRWA-Mpishi mkuu wa kikosi cha 34 cha Jeshi (34 KJ), Mbeya.
6. Ndugu TAKOTAKO WA PUMBUJE a.k.a AKANANA - Muuza miwa na maji baridi maarufu pale magomeni makutano ya barabara za Rashid Kawawa na Morogoro.
7. Mheshimiwa NJENGAFIBILI MWAIKUNGILE-Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.
8. Mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI- Waziri wa Ujenzi Tanzania.
9.Ndugu TUNTUFYE MWAIKIMBA a.k.a KIMBA-Fundi majiko maarufu Railway Gerezani Dar es Salaam.
10. Ndugu BENADETTA TYETYETYE - Mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mwaka 2001 fani ya sayansi ya jamii (BA)
mkuu hii umetunga, ila kuna hii Asubuhi YoyoMkarukwa Mkagongwa, nilisoma naye Edmund Rice High School, katikati ya miaka ya 2000