Huyu alikuwa mhamiaji haramu anowatafuta JK baada ya kuleta shukrani ya pundaNdikumana ndwangwamereye Tosa sec 2010 CBG
pakaya ntamakaya - huyu ni ex FoE, UDSM T.87
Wasukuma wa mwanza hawa:
Manhyakenda Nkingwamachimu
Masakilija Mkunduge
Hahaha!
Hujatia chumvi kweli hapa?
Rashid Nguruwe, alikuwa RPC Dodoma miaka ya nyuma. Kwa sasa sijui alipo.