maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,241
- 5,346
Supetii sakitaa titii ni mtoto wa mjomba wangu kabisa yani cousin wangu! Yuko kule oldonyo morwa mkoani kilimanjaro!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ole pumbunipelepeche mwaipumbugilage-nilisoma nae mwakaleli sec mwaka 1992-1995
Mboro - A to Z ana duka la vifaa vya maabara Kinondoni1) Alabara Paraita
2) Kakai Lemunju
3) Kiboli Olkwap
4)Mbayo Mbogoso
Majina ya kimasai hayo
Mbonea Masamba
Misalaba Sahani
Tabu Kaswahili
[h=5]Top ten wonderful names from Tanzania
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO- Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.
2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA - Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka 1998.
3. Ndugu ABDALLAH NYUNDO KICHECHE- Mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Minaki mwaka 2002.
4. Ndugu MASANINGA SUMAKU POMBOJOLOWE- Dereva wa mabasi ya Hood.
5. Koplo RUBYENEKO MUGANYIZI BYOMBARIRWA-Mpishi mkuu wa kikosi cha 34 cha Jeshi (34 KJ), Mbeya.
6. Ndugu TAKOTAKO WA PUMBUJE a.k.a AKANANA - Muuza miwa na maji baridi maarufu pale magomeni makutano ya barabara za Rashid Kawawa na Morogoro.
7. Mheshimiwa NJENGAFIBILI MWAIKUNGILE-Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.
8. Mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI- Waziri wa Ujenzi Tanzania.
9.Ndugu TUNTUFYE MWAIKIMBA a.k.a KIMBA-Fundi majiko maarufu Railway Gerezani Dar es Salaam.
10. Ndugu BENADETTA TYETYETYE - Mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mwaka 2001 fani ya sayansi ya jamii (BA)
[/h][/QUOTE
Ngamanya kitangalala ,, huyu nilikuwa nae Mbeya sekondary
Duh...! Hapa aisee umetuibia.Kanyamavi Kayashika - mhitimu Mazengo sec 1989