Top ten wonderful names from Tanzania

Supetii sakitaa titii ni mtoto wa mjomba wangu kabisa yani cousin wangu! Yuko kule oldonyo morwa mkoani kilimanjaro!
 
-Shokolo Ngoma ya Rugulu -huyu nilisoma naye O'level shule moja pale mwanza
-Profesa Nyang' Nyong'- huyu ni wa Kenya
-Ouma Ogui Jakamolo Nyang'onya- Mmoja wa wafanya biashara maarufu pale Musoma
-Djaro Arungu - Mtangazaji tbc fm
 
Ya Mawe Ndulamapolu - RIP.

Chiengele Kezilahabi - graduate FASS UDSM.

Kwimba Sabasaba - dada huyu alikuwa SAUT Enzi hizo ikiwa Nyegezi Social

Muchwampaka Kajwahura - mmiliki wa land rover moja hivi.
 
Mojamoja Madilisha - mfugaji Iringa

Bumanga Shigagata - jamaa mmoja alisoma Kwiro Sec. A-level.

Mageleja Itendelebhanya.

Kalikali Mbagule - RIP, mganga wa kienyeji.
 
[h=5]Top ten wonderful names from Tanzania

1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO- Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.

2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA - Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka 1998.

3. Ndugu ABDALLAH NYUNDO KICHECHE- Mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Minaki mwaka 2002.

4. Ndugu MASANINGA SUMAKU POMBOJOLOWE- Dereva wa mabasi ya Hood.

5. Koplo RUBYENEKO MUGANYIZI BYOMBARIRWA-Mpishi mkuu wa kikosi cha 34 cha Jeshi (34 KJ), Mbeya.

6. Ndugu TAKOTAKO WA PUMBUJE a.k.a AKANANA - Muuza miwa na maji baridi maarufu pale magomeni makutano ya barabara za Rashid Kawawa na Morogoro.

7. Mheshimiwa NJENGAFIBILI MWAIKUNGILE-Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

8. Mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI- Waziri wa Ujenzi Tanzania.

9.Ndugu TUNTUFYE MWAIKIMBA a.k.a KIMBA-Fundi majiko maarufu Railway Gerezani Dar es Salaam.

10. Ndugu BENADETTA TYETYETYE - Mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mwaka 2001 fani ya sayansi ya jamii (BA)


[/h][/QUOTE
Ngamanya kitangalala ,, huyu nilikuwa nae Mbeya sekondary
 
Elimboto muna ndo jina langu,mimutye ngunini-(masai) engutoto sec 2009.,buchwechwe muchunguzi-udom 2012.
 
Sikumbawa nyoka. Huyu alikua kigonsera 1991-94

Nitatoroka saanane- mfugajii maarufu usangu
 
Jumamosi Sympisius Pakalapaka Mlenge - huyu mzee alikuwa afisa tarafa Morogoro Mjini miaka michache iliyopita. Anapenda kutembea na kifimbo mkononi
 
CHUMCHUM MARUNGA NGURUNGURUCHE HUYU NILIKUTANA NAYE HUKO MBELE MBELE (sina uhakika na jinale kama ni la kweli ingawa liko kwenye passport yak), Alikuwa kama si mnigeria basi ni msenegali nilimpa degree ya kuwaliza wamama weupe! Ngoja nisiendelee.
 
90 Reactions
Reply
Back
Top Bottom