Top ten wonderful names from Tanzania

mkuu inaongeza gharama kwa nani raha ya maana ya kitu hufurahiwa na wahusika sio watu wengine. kwa waafrika ina maana kwa wengine inaweza kuwa ujinga. kwani john walker tukilitafsiri kikwetu litakuwa zuri? bush je? waache watu wajinafasi kwa mila na desturi zao.

kwa waliosoma symblolic interactionism wataelewa sana kuwa kila kitu kina maana kwa watu fulani na kwa watu wengine inaweza ikawa ujinga mtupu. ndio maana tunajifunza kuchukuliana na kuheshimiana kwa kile ambacho wengine wanakiamini kuwa kizuri kwao. ili mradi tu isivunje miiko ya ujumla ya kidunia.

.. duly explained/lakini kwa upande mwingine in practice jina kama Shisalyandumi hufupishwa kutamkwa 'Shisa', 'ndumi' nk kwa sababu hizi hizo za kuokoa muda wakutamka, nk.
 
jakaya mrisho kikwete, ni rais wa danyanyika,Kasyupa Alipipi Lumuli - mbunge wangu wa zamani kule mbeyaKangalawee Gulugumbi, nimekutana naye UNIMOG kule darfur
 
[1] Ngodoo Meing'ori Kaloleni Primary

[2] Emanueli Lebarani Saning'oo

[3] Bisare Mandiga

[4] Lembida Lengishon

1) Alabara Paraita
2) Kakai Lemunju
3) Kiboli Olkwap
4)Mbayo Mbogoso
Majina ya kimasai hayo
 
  1. Ukiwaona Ditopile Mzuzuri
  2. Kanali Kapambala Mgawe
  3. Kukutia ole Pumbuni (uliza wanafunzi na wahitimu wa LLB kuhusu kesi yake ni maarufu sana)
  4. Hawa Ghasia
  5. William Samoei Kipchirchir arap Ruto (wa Kenya huyu lakini unaonaje alivyowakilisha kiasili zaidi)
  6. Nkwabi Nghwanakilala (alikuwa bosi wa RTD zamani)
  7. Mr Kasenge (mwalimu wangu wa hesabu pale Moshi Technical Secondary school)
 
  1. Dr Ndembela Ngunangwa (alikuwa mbunge kama sijasahau)
  2. Kisyeri Chambiri (mbunge)
 
Chilipaichi Huba-Stanbic Industrial branch
Semvua Kisenge- Electrical Engeneer Vodacom
Kisali Nyari- Mechanical engeneer
Segule Segule-Engeneer Maji ubungo
Chotile Chotile Jalalani-
 
Tulibako ,mgasa kiboko huyu aalikuwa class mate wangu enzi za sekondari na jamaa anaitwa nyaburiri.....he he hs
 
Back
Top Bottom