Top Ten footballers Tanzania ever produced

AFRICAN SPORTS
duncan mwamba
francis mandoza
bakari tutu
hassan banda
muhando mdeve
steven kinduru
abass mchemba
twaha omar
victor mkanwa
mchunga bakari
juma burhan

reserve
semkiwa
martin mahimbo
hamza maneno
dadi fares
 
Coastal union
hasan msosi
makunda
zaharani
mohamed salim
godfrey nguruko
salim athuman
clement kwagila
mwamlongo
 
du! Wazalendo nashukuru sana kuona watu wanakumbuka mchango wa babu yangu- Yunge Mwanasali (RIP)- aliyeutoa kwa nchi na Sunderland. Shukrani na Amani.
 
Wananchi,

Tunapozungumzia vipaji vya kukumbukwa vya wacheza mpira wa miguu, ingefaa sana tukumbuke kwanza tulikotokea katika mchezo huu.

Wakati East African Challenge Cup ilipoanza, wakati huo ikiitwa Mashindano ya Gossage Cup, ubingwa ulikuwa ni wa Uganda zaidi na wenzao Kenya. Tanganyika na Zanzibar zilikuwa wasindikizaji tu.

Lakini, ilipofikia 1949 wasindikizaji Tanganyika, waligeuza kibao wakawa washindi wa Gossage Cup, watu wakafikiri labda ile ilikuwa nyota ya jaa. Hawa wazee, siku hizo vijana, wakahakikisha umahiri wao kabumbu, kwa kukichukua kikombe hicho cha mashindano ya Afrika Mashariki 1950 na 1951.
Mara tatu mfululizo. Rekodi yao hiyo haijafikiwa au kupitwa na timu nyingine yoyote ya Tanganyika wala Tanzania.

Napenda kuwapa wao heshima hiyo ya wachezaji bora wa wachezaji wetu bora:

1. Abdulhamid Ramadhani "Ibraq" - Dar Young Africans - Goalkeeper.
2. Juma Mrisho - Tabora - Fullback Right
3. Mganga Yaga - Kondoa, Dodoma - Fullback Left
4. Mambo Mzinga "Tractor" - Dar Young Africans - Halfback Right
5. Yunge Mwanansali - Tabora - Centre Half
6. Kheri Kilanga - Dar Sunderland (Simba) - Halfback Left
7. Hamisi Mtoto - Dar Young Africans - Right wing
8. Fidelis....?.... - Bukoba - Inside Right
9. Juma Abdallah Nyongole - Iringa - Centre Forward
10. William Nasson - Dar Sunderland (Simba) - Inside Left
11. Pius....?..... - Bukoba - Left wing
Reserves:
12. Mohammed Kembo - Tanga
13. Harold Mgone - Dar Sunderland (Simba)
14. Hamisi "Fourteen" - Dar Sunderland (Simba)
15. Situmai Mzee "Ng'anda" - Dar Young Africans.

Hatutawatendea haki watu hawa kama tutawasahau. Wao ndio waliotuonjesha ushindi wa mchezo huu kwa mara ya kwanza kabisa, katika mashindano ya Kimataifa.

Mwenyezi Mungu awarehemu huko waliko.

Amina. Dah, mkubwa umenikumbusha mbali sana. Enzi hizo formation ilikuwa ni W-M
 
Gibson Sembuli, Haidari Muchacho, Method Mogella, Sunday Manara, Mambosasa, George Masatu, Ramadhan Lenny, Malota Soma, Edward Chumila, Edbily Lunyamila.........the list goes on and on We have football performers and not football professionals.
 
Why top 10 and not top 100?

Omari Chogo Chemba

Boi Wickens

Mohamed Kajole

William (Leonard)Chitete

Thuweni Ally

Makumbi Juma

Peter Tino

Willy Mwaijibe

Gilbert Mahinya

Mohamed Salim

Hamisi Gagarino Tx 1

Lilla Shomari Tx 2

Jellah 'Mlevi' Mtagwa

Idd Boi 'Wickens'

Khalid Abeid

Haidari Abeid

Hassan Gobbos

Abbas Dilunga

Maulid Dilunga

Sunday 'computer' Manara

Kassim Manara

Kitwana Manara

Adolph Rishard

Mohamed Mkweche

Mohamed Tostao

Yungi Mwanansali

Mpaka kesho namini miaka ya 60, 70, 80 Tanzania kulikuwa na wachezaji wazuri sana kuliko sasa bahati mbaya tu miaka hiyo hawakupata bahati ya kuonyesha vipaji vyao majuu, lakini wengi wangestahili kabisa kuchezea timu kubwa za dunia za wakati huo. Walikuwa na mapenzi ya kweli na timu zao na pia walikuwa wanajituma sana wanapokuwa uwanjani tofauti na hawa wa sasa. Kwa Taarifa tu pink slip ya 'Minimo" imeshaandikwa kesjo tukipigwa mbao basi kibarua kinaota majani yeye na timu yake nzima ili warudi kwao wakaendeleze gwaride maana inaelekea mpira hawaujui.

Bila kuwataja hawa chini
Yanga Bwanga
Elisha John
Method Mogela "Fundi" RIP
 
List yangu:

1. Zamoyoni Mogella (Golden boy)
2. Makumbi Juma (Homa ya Jiji)
3. Athuman Mambosasa
4. Mohammed Mwameja
5. Gibson Sembuli
6. Malota Soma (Ball Jugler)
7. Abdallah Kibaden
8. Edibily Lunyamila
9. Hussein Masha
10. Athuman China

Bonus:

Salum Kabunda (Ninja) - Popularity
Nteze John
Fumo Felician
 
1. JUMA MHINA
2. ABDALLAH BORI
3. HAMZA MPONDA
4. YAHAYA DONDWE - MZUZU
5. MBWANA MTOTO - MKURUGENZI WA ZAMANI UHAMIAJI
6. ALLY KATOLILA - KOCHA UKONGA VETERANI
7. SAIDI GEORGE (BEST)
8. SALIMU AMIRI - 6 & 8 COASTAL
9. SALIMU OMARI - 6 COASTAL
10. JORAM MWAKATIKA - UPARA
11. ABALLAH SHAAMUN
12. HILALI HEMEDI ZAKUANI
13. MUSSA RIKO
14. HEMEDI MOROKO - HUYU KWA TIKITAKA UTALIA
15. TWALIBU HILALI
16. MOHAMMED KAMPIRA
17. MOHAMMEDI MAKUNDA - BABAYAKE AKIDA
18. SALIMU KUSI - KUSIIZA
19. JIMMY MOREDY
20. DANNY MUHOJA
21. KASIMU MWAJEKI




:israel:
 
coastal union
hasan msosi
makunda
zaharani
mohamed salim
godfrey nguruko
salim athuman
clement kwagila
mwamlongo


zakaria wa kinanda
mwabuda
francis mandoza
muhando mdeve
bakari tutu
ali mtumwa
abasi mchemba
mchunga bakari
juma burhani kakoko
stephano kinduru
bakari mkomwa
dancun mwamba
hamisi makene
ali mwaliza
joseph ramadhani
baby sempoli
jalala
salimu waziri tupa
mwasongonya
 
1.juma kaseja
2.shadrack nsajigwa
3.juma jabu
4.salum sued
5.nadir haroub kanavaro
6. Athuman idd chuji
7.mrisho ngassa
8.shaban nditi
9.haruna moshi boban
10.mussa mugosi
11. Mwakingewe


imekaaje hiyo?kizazi kipya


hakuna ya issue umezaliwa lini ila kulingana na wakati na namna ya uchezaji utagundua kuwa wa zamani walikuwa juu...mimi nina miaka 30 tu lakini niliwahi kuangalia kanda za zamani nikagundua kuwa wachezaji wazamani walikuwa juu
kama mdau mmoja alivyosema kizazi cha mwisho ni kina athuman china...yaani mimi athumani china nilimkuta
..alikuwa anafanya mazoezi hakuna mfano! Bado sijaona kiungo kama yeye tangu aondoke kwenye soka!
 
1. Mbana Makata
2. Ally Kimwaga
3.Michael kidilu
4. Suleiman Mathew
5. Godwin Aswile
6. Aston Pardon
7. John Alex
8. Justin nico mtekele
9. Richard Lumumba
10. Peter Mwakibibi
11.kelvin Haule
 
Hadi sasa Tanzania iliwahi kuzalisha kipaji kimoja tu kwenye soka...Sunday Manara ..wakiobaki wote ni wahapahapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom