Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
pawaaaaaaaaa.....mdo mdo mpaka ikulu 2015 kudadadeki....
dada wewe unanifurahisha sana post zako,ningekuwa rais ungekuwa waziri wa fedha tehe tehe.
pawaaaaaaaaa.....mdo mdo mpaka ikulu 2015 kudadadeki....
Jamani waacheni wafu wazikane wenyewe huko Dodoma. Who cares?
Nisamehe mkuu ila lilikuwa ni swali amabalo lilitarajia majibu mawili ya Ndiyo/hapana.,,,naomba unitake radhi mkuu,mimi sio mwanachama kabsa wa hiki chama ila niko hapa chuo field tu,asante
CCM na rushwa ni sawa na kobe na gamba lake,haiwezekani kuvitenganisha bila kusababisha kifo!
UWT nako kulikuwa na malalamiko ya rushwa kama UVCCM wanakataa uongozi mpya hata UWT walitakiwa kufanya hivyo chama ni kimoja maamuzi lazima yafanane.