AUDITOR OF MAFISADI
Senior Member
- Jan 25, 2012
- 106
- 34
chanzo tbc1
wanadai uchaguzi uligubikwa na rushwa. Wanataka urudiwe.
Ilifika mahali wana uvccm walikuwa hawataki kuona na kusoma sifa za wagombea wao kupitia vipeperushi na wengine walitamka bayana kwamba hawataki vipeperushi ila vipeperushwa.
Walioko dodoma tunaomba habari zaidi.
hiyo ndo raha ya kuwa chama-fisadi na chama- ruswa,ya uwt ilikuwa ya chooni,hii sijui walikuwa wanapeana vipi?